Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Juni 12 ya mwezi huu,niliweka mada(mods waliiiunganisha) na kusema CHADEMA wameamua kuacha Polisi wafanye kazi yao ila wakifanya tofauti kwa maana ya kutoeleza ukweli wa tukio zima,basi CHADEMA watatoka hadhrani na kueleza kilichotokea.

Leo hii nafurahi kuona CHADEMA wanakusudia kuweka tukio hili hadharani kwa kutoa na ushahidi kama wengine tulivyotarajia.

CHADEMA ina watu smart sana.

Mada yangu ilikuwa ni hii:

Kwa mtazamo wangu,naamini mpaka sasa CHADEMA wameshakusanya taarifa za nini kilitpokea ila waliona kueleza kila kitu ingekuwa ni kuingilia uchunguzi wa Jeshi la Polisi, hivyo waliona ni busara watoe nafasi kwa Polisi kufanya kazi yao na kama maelezo ya Polisi yatakuwa tofauti na kilichotokea, basi watajitokeza kueleza kwa undani nini kilitokea na hiki ndicho binafsi nakitarajia kitatokea wakati wowote kuanzia kesho.

Kama kumbukumbu zangu ziko sahii, Mnyika alisema wakati tukio linatokea,Mbowe hakuwa peke yake bali kulikuwa na watu wengine ambao hawakuwataja hivyo naamini katika kujibu taarifa ya Jeshi la Polisi, CHADEMA watawataja waliokuwepo na pia na kama kuna ushahidi wa ziada,basi watautoa hadharani.

Naamini hata Mbowe mwenyewe atatoa maelezo ya nini hasa kilitokea.

Tusubiri.

Keep your fingers crossed.
 
Kwanini hili suala asije Mbowe mwenyewe aeleze kilichotokea?

Kwanini kina Mnyika ndio wapo mstari wa mbele kumtetea Mbowe badala ya yeye mwenyewe kuja kueleza umma?

Chadema acheni uhuni
Mbona nyinyi mpo mitandaoni kuwatetea CCM mitandaoni?kwa nini mwenyekiti wa CCM hajitetei mwenyewe juu ya unyanyasaji kuwabambikia kesi wapinzani?
 
Juni 12 ya mwezi huu,niliweka mada(mods waliiiunganisha) na kusema CHADEMA wameamua kuacha Polisi wafanye kazi yao ila wakifanya tofauti kwa maana ya kutoeleza ukweli wa tukio zima,basi CHADEMA watatoka hadhrani na kueleza kilichotokea.

Leo hii nafurahi kuona CHADEMA wanakusudia kuweka tukio hili hadharani kwa kutoa na ushahidi kama wengine tulivyotarajia.

CHADEMA ina watu smart sana.

Mada yangu ilikuwa ni hii:

Kwa mtazamo wangu,naamini mpaka sasa CHADEMA wameshakusanya taarifa za nini kilitpokea ila waliona kueleza kila kitu ingekuwa ni kuingilia uchunguzi wa Jeshi la Polisi, hivyo waliona ni busara watoe nafasi kwa Polisi kufanya kazi yao na kama maelezo ya Polisi yatakuwa tofauti na kilichotokea, basi watajitokeza kueleza kwa undani nini kilitokea na hiki ndicho binafsi nakitarajia kitatokea wakati wowote kuanzia kesho.

Kama kumbukumbu zangu ziko sahii, Mnyika alisema wakati tukio linatokea,Mbowe hakuwa peke yake bali kulikuwa na watu wengine ambao hawakuwataja hivyo naamini katika kujibu taarifa ya Jeshi la Polisi, CHADEMA watawataja waliokuwepo na pia na kama kuna ushahidi wa ziada,basi watautoa hadharani.

Naamini hata Mbowe mwenyewe atatoa maelezo ya nini hasa kilitokea.

Tusubiri.
polisi wameshachunguza tayari, imebaki chadema nao waseme yao, binafsi nataka waje na pointi ya kua mbowe hakua amelewa kama njagu na masisiemu yanavyodai
 
Wameshaanza kuweweseka kutoa kauli zao za ajabu, sadly enough mpaka IGP nae kaangukia kundi hilo, na yeye amekuwa mwanasiasa, wasubiri muda ufike wapate taarifa kamili toka Chadema, wao wamalizie uchunguzi wao kwanza.

Ni sawa na yule Kanali kada kudhani anaweza mshtaki mwanasiasa kwa Mambo ya kisiasa kwenye mahakama za kijeshi.
 

Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika leo ametoa kauli kali ambayo ndio kauli halali ya Chama chake kuhusiana na Propaganda za kishamba zinazosambazwa na Jeshi la Polisi zikiongozwa na IGP Sirro mwenyewe kuhusiana na shambulizi alilofanyiwa Mh Mbowe na Watu waliotumwa kumdhuru .

Hakuna ushahidi wowote kwamba Mbowe alilewa kama Sirro na waliomtuma wanavyoropoka mitaani , tarehe 8 na 9 June Mh Mbowe hakuwahi kukanyaga Royal Village Hotel kama watunga uongo wanavyodai , na kama kuna anayebisha alete ushahidi wa Mh Mbowe kuwepo eneo hilo kwa tarehe zilizotajwa kama waongo wanavyodai, Hakuna mtu yeyote kati ya wapiga kelele akiwemo Ndugai au Sirro wanaoweza kuthibitisha jambo hilo , wala hakuna Daktari hata mmoja katika waliomtibu Mbowe aliyethibitisha hilo , bali uongo huu unaosimamiwa na IGP kwa kulishwa maneno na Ndugai umeletwa makusudi kwa lengo la kuzima uchunguzi wa kuvamiwa kishamba kwa Mh Mbowe, kama Sirro ana ushahidi auweke hadharani .

Natoa wito kwa Chadema kumchukulia hatua IGP Sirro kwa kujiingiza kwenye siasa tena kwa kutumia Mguu wa kushoto , ikiwa Sirro anahitaji uongozi wa kisiasa basi amuombe Mwenyekiti wake wa CCM amruhusu ili tupambane naye majukwaani, Asijiingize bila taarifa ili asitumbuliwe .


John Mnyika, sasa ni vizuri ukasema tu kwamba zile report za madaktari kwamba DJ Mbowe alikuwa kalewa chakari alipowasili pale kwenye kituo cha Afya ni za uongo? Ukisha kuwa na ushahidi kama huo kutoka kwa madaktari utakuwa huna sababu za kugombana na IGP. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona inakula kwenu tu!
 
John Mnyika, sasa ni vizuri ukasema tu kwamba zile report za madaktari kwamba DJ Mbowe alikuwa kalewa chakari alipowasili pale kwenye kituo cha Afya ni za uongo? Ukisha kuwa na ushahidi kama huo kutoka kwa madaktari utakuwa huna sababu za kugombana na IGP. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona inakula kwenu tu!
hiyo ripoti umeiokota wapi ?
 
Hii polisi imekuwa moja ya taasisi za hovyo kuwahi kutokea katika nchi hii labda ndio maana wengi wao wanapostaafu huwa kama machizi.

Wamepoteza kabisa heshima baada ya kugeuka kuwa Green guard wa ccm. Bure kabisa.
 
Mbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Hivi ukiwa mwizi kila tukio la wizi likitikea unahusika wewe?

Kama alikua kalewa kwanini walimhoji mtu ambaye ni mlevi,na wanatumia taarifa za mlevi kufanya uchunguzi?

Ulevi wa Mbowe ulipimwa ukiwa wa kipimo gani ambacho kilifanywa na Dr au Polisi?
 
Juni 12 ya mwezi huu,niliweka mada(mods waliiiunganisha) na kusema CHADEMA wameamua kuacha Polisi wafanye kazi yao ila wakifanya tofauti kwa maana ya kutoeleza ukweli wa tukio zima,basi CHADEMA watatoka hadhrani na kueleza kilichotokea.

Leo hii nafurahi kuona CHADEMA wanakusudia kuweka tukio hili hadharani kwa kutoa na ushahidi kama wengine tulivyotarajia.

CHADEMA ina watu smart sana.

Mada yangu ilikuwa ni hii:

Kwa mtazamo wangu,naamini mpaka sasa CHADEMA wameshakusanya taarifa za nini kilitpokea ila waliona kueleza kila kitu ingekuwa ni kuingilia uchunguzi wa Jeshi la Polisi, hivyo waliona ni busara watoe nafasi kwa Polisi kufanya kazi yao na kama maelezo ya Polisi yatakuwa tofauti na kilichotokea, basi watajitokeza kueleza kwa undani nini kilitokea na hiki ndicho binafsi nakitarajia kitatokea wakati wowote kuanzia kesho.

Kama kumbukumbu zangu ziko sahii, Mnyika alisema wakati tukio linatokea,Mbowe hakuwa peke yake bali kulikuwa na watu wengine ambao hawakuwataja hivyo naamini katika kujibu taarifa ya Jeshi la Polisi, CHADEMA watawataja waliokuwepo na pia na kama kuna ushahidi wa ziada,basi watautoa hadharani.

Naamini hata Mbowe mwenyewe atatoa maelezo ya nini hasa kilitokea.

Tusubiri.
Mkuu, nakuonea huruma
 
Kwani Mbowe hana mdomo?
Kwanini asitokee mwenyewe ajitetee badala ya kina Mnyika kutumia nguvu nyingi kumtetea mwenyekiti

Wanaomtetea kwa nguvu nyingi BILA maarifa yule Mwenyekiti mwingine MBONA HUWASEMI VIBAYA?
 
Sikushangai maana akili zote ulishamkabidhi Mbowe!

Unafikiri kwanini Mbowe hajitokezi mwenyewe kujitetea? Watu wana hadi video wamehifadhi wanasubiri aropoke wamwage hadharani.

Wewe endelea kushabikia vitu usivyovijua
Wewe ndiye hujui hata principles za kuwasiliana. Unataka Mbowe ajibishane na nani wakati yeye kafungua kesi polisi? Video wanayo Chadema, kama hujui unachoropoka!
 
Ule ndio ushahidi waliofanyia uchunguzi! Sasa Mbowe kwanini asitokee mwenyewe aseme kilichotokea badala ya kuwatuma kina Mnyika?
Acha ujinga! kazi ya polisi katika context ya tukio la Mbowe haikuwa kuchunguza kama Mbowe alikuwa amelewa au la, kwa kuwa hata kama alikuwa amelewa angeweza kuvamiwa. Sasa labda ni kuulize we mbwiga, ni daktari gani aliyempima Mbowe akakuta amelewa? ni kilevi kiasi gani? Yaani, jeshi la polisi linatumia maelezo ya sabufa kufikia hitimisho kuwa Mbowe alikuwa amelewa? Mnaidharirisha sana hii nchi nyie mbugilambugila!
 
Back
Top Bottom