Kuvumiliana JF

Status
Not open for further replies.
HESHIMA ni pamoja nakutumia lugha nzuri bila kuwatusi watu hata kama hupendi hoja zake. Wengine humu ndani wana umri sawa na baba zenu. Great Thinkers gani hwajihshimu Wala kuheshimu mawazo ya mtu mwingine
 
Aliyekuambia mademu wa huku wanapenda wanaume waooitemea mate ni nani?πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒ
Half american anawapata kwa sababu anajiita mmarekani wakati ni mmakonde wa newalaπŸ˜ƒ
Weee kwahyo Half american sio mnyamwezi wa mamtoni kama anavyojiita??πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapana bana nakataa, huyo mmarekani
 
Nimebugi leo.......
Ila ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Next time sitawaambia watu kuwa nafuatilia kwa ukaribu.
We next time enjoy movie kimya kimya, uzuri huku kama ulisomea Cuba kuna story tu hata ziwekwe code vipi utang'amua.πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna watu wakichokozwa kidogo tu lazima wapanik wafunguke so mwisho wa siku story yote unaipata.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…