Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishapoa mshikaji wangu ila nasubiri ufulie uniombe na ya kutolea😀😃Duh maskini mie pole mkuu na samahani. Ndo maana nimepunguza ligi huwa nasahau makashfa yootee ninayoyatoa baada ya muda
HESHIMA ni pamoja nakutumia lugha nzuri bila kuwatusi watu hata kama hupendi hoja zake. Wengine humu ndani wana umri sawa na baba zenu. Great Thinkers gani hwajihshimu Wala kuheshimu mawazo ya mtu mwingine1. mpwayungu village yuko banned
2. Ummughaka na story yake akinyi must die yuko banned
3. Cocastic yuko banned
4. Deepond mzee wa story ndefu
Nimeona wengi kweli 🤣 Tujifunze kuwa na uvumilivu humu ndani Pamoja na kuwa hatufahamiani ila bado sisi ni wamoja JF ni yetu sote. .
Uzi unakimbia sana, naanzaje kusoma tena miye na Good Friday hii. Leo sichumi dhambi ndogo ndogo mdogo ake!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃😂😂😂😂😂Ccy nimepata kwikwi.
Si bora ningekuwepo huko ningeshinda kutwa kuwatia mikwara UMUGHAKA na SteveMollel walete story kwa wakati [emoji3]Kumbe uko kwenye management ya JF Huku ndani kuna watu wazito sana[emoji2]
Nimebugi leo.......Na Illmatic anafatilia kwa makini 😂
Weee kwahyo Half american sio mnyamwezi wa mamtoni kama anavyojiita??😂😂Aliyekuambia mademu wa huku wanapenda wanaume waooitemea mate ni nani?🤣🤣😃
Half american anawapata kwa sababu anajiita mmarekani wakati ni mmakonde wa newala😃
Mangi kuna watu washaanza ugomvi humu. Tena kuna wana wanamchokoza kichaa wangu many Ota Johnnie WalkerHuu uzi unatembea sana, ukimalizika salama sijui
Sio lazima utoe matusi mkuuHESHIMA ni pamoja nakutumia lugha nzuri bila kuwatusi watu hata kama hupendi hoja zake. Wengine humu ndani wana umri sawa na baba zenu. Great Thinkers gani hwajihshimu Wala kuheshimu mawazo ya mtu mwingine
Hiko kiungo kilichotajwa aiseeMbona unacheka [emoji23]
Wee odo ake usiniambie, wanaelezea matatizo kama yapi? Ya kukosa hela na Easter ishapiga hodi, or wanaumwa... kama yanasaidika tutayatatua 😛😛😛😛Huu Uzi ulianzishwa kwa mapenzi mazuri na Gilly sa nashangaa sana imekuaje uwe sehem ya baadhi ya watu kueleza matatizo yao.
Baba mmakonde na mama mmatumbi 🤣 kwao kupata rangi nyeupe anajiita Half american. Kichwani anapaka picco na anatembea na Kitana mda wote anachana nywele😀Weee kwahyo Half american sio mnyamwezi wa mamtoni kama anavyojiita??😂😂
Hapana bana nakataa, huyo mmarekani
We next time enjoy movie kimya kimya, uzuri huku kama ulisomea Cuba kuna story tu hata ziwekwe code vipi utang'amua.😂😂Nimebugi leo.......
Ila ukitaka kula na kipofu usimshike mkono.😂😂😂.
Next time sitawaambia watu kuwa nafuatilia kwa ukaribu.
Story ziko nyingi sana kam mvua haina haja hata ya kugombana na wanaotup arosto. Wanalewa na storySi bora ningekuwepo huko ningeshinda kutwa kuwatia mikwara UMUGHAKA na SteveMollel walete story kwa wakati [emoji3]
Pamewaka hapa leo......Ndugu wananzengo ndani ya uzi huuView attachment 2579464