Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuuMERIDIAN BET ni washenzi sana. Wafuatilie sana kwenye keno ndo utajua wahindi ni matapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuMERIDIAN BET ni washenzi sana. Wafuatilie sana kwenye keno ndo utajua wahindi ni matapeli
Si kitu rahisi kuacha, hapa naendelea na virtualDawa Ni Kuacha Kufanya Betting
Betika je wakuu??
Huu Uzi ni batili bila kumtaja mtu mzima GWALABETKuna makampuni matatu ambayo kiukweli usijaribu kuweka dau refu au usiwategemee sana pindi unapobashiri michezo mbalilili.
1.Gal spot Betting; hawa jamaa siku wakiliwa sana wanazima mtandao,au wakiona kuna mechi zimekaa mkao wanahofu watapigwa lazma wazime mtandao.Ukiweka dau kubwa kuanzia 50,000 jiandae kutapeliwa.
2.Meridian bet.hawa nao Tabia zao no kama za galsport.
3.Slot pesa; Hawa pia nao matapeli ukiweka dau kubwa jiandae kuibiwa ,mtandao watakuzimia
Kaa chonjo na haya makampuni
Wazungu sana hawa no kona konaBetika je wakuu??
Betika ya wapi?Betika watu wanawalalamikiia sana hasa ukipiga hela ndefu longolongo kibao
Wasiliana na kitengo cha tigopesa wao watakwambia shida ni nini.Tafadharini sana kuweni makini sana na hiyo kampuni haswa kwenye swala la withdrawal,yaan Wana discourage kutoa ela mnoo,ila kudeposit inakubali safi tu,ukila sasa kutoa ela yako,ni vita ya Manara na Rushyna,pls usiseme hujaonywaView attachment 2484354
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Tigopesa kivipiWasiliana na kitengo cha tigopesa wao watakwambia shida ni nini.
Kwani pesa zako zinapitia wapi?
Kampuni gani gani hii?Tafadharini sana kuweni makini sana na hiyo kampuni haswa kwenye swala la withdrawal,yaan Wana discourage kutoa ela mnoo,ila kudeposit inakubali safi tu,ukila sasa kutoa ela yako,ni vita ya Manara na Rushyna,pls usiseme hujaonywaView attachment 2484354
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Zinapitaje wakati hata kutoka haIjatoka,we kama ni mfanyakazi wao tatua sio kuleta visingisioKwani pesa zako zinapitia wapi?
Mbona kama una stress sana, ulibetia kodi ya nyumba nini [emoji1787]Zinapitaje wakati hata kutoka haIjatoka,we kama ni mfanyakazi wao tatua sio kuleta visingisio
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Cha rahisi Nini hapo sasa,kutoa ela yangu ndo kitu rahisi?kama upo Nyegezi Mwanza niambie nikufateMbona kama una stress sana, ulibetia kodi ya nyumba nini [emoji1787]
Hayo ndio madhara ya kupenda vya rahisi.
Shida ujaelewa jamaa anauliza niniMbona kama una stress sana, ulibetia kodi ya nyumba nini [emoji1787]
Hayo ndio madhara ya kupenda vya rahisi.