Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Andamaneni sasaShida ujaelewa jamaa anauliza nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andamaneni sasaShida ujaelewa jamaa anauliza nini
Gwala bet mkuu ni wezi tu ka wezi wengine wa unga limited tofauti yao ni kuwa wao ni kampuniGal walinidhulumu laki moja yangu,nikafuta app yao
Sportpsa ndio kampuni ya uhakika,gwalabet pia wako vyema
Mkuu kuna tofauti gani kutumia App na Google?Sportpesa pekee ndiyo huwa naielewa na utaenjoy kwa kutumia Google na siyo app
Bp ukibet online mtandao ukisumbua hata kapa ushaselect team na ndo unataka ku place bet unakuta team zote zmejifuta....hapa ndo waliponikera ikabid niwahamePigaBet ndio kubwa la matapeli. Wengine ambao wanakuwa na upumbavu ni mkeka bet, wakiona umekula sana wanakushusha kiwango chako Cha kubet.
Kidogo wanaojitahidi ni BetPawa, Hawa ndio naona hawana sana ujinga.
Hii ndio kampuni hawana longo longoBetika je wakuu??