Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

Ushatafunwa nini?
 
Daaah pale nyumbani hotel aseee wanaowafaidi ni wale waarabu wa mombasa mkuu japo wengine wa pale pale tanga, navojuaga Tanga hao watoto wakimanga na wataita hata wazigua wanashobokea waarabu kuliko sisi wagalatia weusi. Kaka nitakujaga tanga tena.
 
Daaah pale nyumbani hotel aseee wanaowafaidi ni wale waarabu wa mombasa mkuu japo wengine wa pale pale tanga, navojuaga Tanga hao watoto wakimanga na wataita hata wazigua wanashobokea waarabu kuliko sisi wagalatia weusi. Kaka nitakujaga tanga tena.
Karibu sana kaka ufaidi uumbaji wa Mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa lugha iliyonyooka hao beach boys ni wabakaji, Yaani mama na mabinti zake wabakwe kisha wakae kimya!!!

Labdaaa.
Walipigwa asee, vijana waliopo pembeni ndo wanajua kuwa washapigwa wale.

Lakini kikubwa kinachofanya mchezo huu kuendelea na kushika kasi ni wahusika wenyewe kutokua wawazi pindi wanapofanyiwa hayo matukio
 
lakassa chika ilikuwa 🔥🔥🔥
 
Kwa hiyo mother aligongwa na watoto walijua amegongwa na beach boy?. Na mother pia akajua wanawe wameliwa tayari?
Wote si walipelekwa mbali kidogo, beach boys anawatishia mkizingua nawaacha huku mzame, kwaiyo kiulaini mzigo mbususu inachapwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…