Kuwa makini unapokwenda baharini kuogelea na mke/mpenzi wako

ACHA UONGO...SWIMMING INA UMBALI GANI HADI WATU WASIONE...HII STORY ILIKUWA PALE COCO BEACH ENZI ZILE WADADA WANAPELEKWA KINA KIREFU KULE WEWE UNAUNGANISHIA VI-STORY VYAKO UCHWARA VYA TANGA..[emoji35]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Duuuh!!! Mbona kama umekuja na chuki dizaini???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwe unauliza mkuu kama hujaelewa, sio swimming pool, ni beach ipo baharini kabisa, ukisikia "swimming club" ni jina tu!!! Ila inaonekana ukichwa panzi super kilaza hadi noma asee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Virusi vitakua vinaogopa maji ya chumvi vinakufa chap[emoji23][emoji23][emoji23]
Itakua virusi vinaenda kuibukia kule chumvini karibu na kisosora[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na zile swimming costumes zetu aah sitaki mtu anisogelee kabisa[emoji23]
Huwa zikiloana napenda sana kuangalia, mana zinaonesha kabisa jinsi Mungu alivyo fundi mkuu, tunamsifu tu ns kumtukuza, mana mbususu unaiona laivu, sema tu ndo hivyo imefunikwa na hiyo cost[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee beach boys hao na sidhani hata kama wanakua na condoms , siendi kuogelea popote pale ntaoga ndani kwangu[emoji848]
Mmmh, hawana kitu, na wengi muda wa mchana huwa ni mabodaboda, mida ya tisa tisa kumi wanajivuta zao kule maeneo, na kuna mmoja ni boda namfahamu anapaki pale coffee bar karibu na usambara hotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ