Choshwa kimyakimya mjomba. Hukuwa na haja ya kuandika hapa. Ulichofanya kinaitwa INVITATION TO TREAT kwa lugha ya MwabukusiSijasema nataka uhandsome uniletee ugali, nimesema nimechoshwa na vishawishi ambavyo nakutana navyo, sihitaji kuingia matatizoni
Wewe ndyo unapangia watu kuandika hapa? nimeandika uzi wangu na sijavunja sheria yoyote ya JfChoshwa kimyakimya mjomba. Hukuwa na haja ya kuandika hapa. Ulichofanya kinaitwa INVITATION TO TREAT kwa lugha ya Mwabukusi
Hapana mkuu, itabidi nivumilie tuCha juu
Basi hujachoka mkuuHapana mkuu, itabidi nivumilie tu
Nimechoka lakini sio kufikia hatua ya kukata kichwaBasi hujachoka mkuu
Basi kuwa rafu rafu na usioge wiki kama fisiNimechoka lakini sio kufikia hatua ya kukata kichwa
Mimi nadhani napaswa kutafuta pesa kwa bidii, ili niweze ku meet standard ambayo itaendana na muonekano wanguBasi kuwa rafu rafu na usioge wiki kama fisi
Madam, mimi sina kitu kama hiyo, kama ukitaka kuthibitisha hilo, nipo tayariView attachment 3060450 alisema bwana ki Tv
Anajikuza tu hamna mwenye yuko na time nae
Sasa umejuwaje mambo kama hayo?Wengi wao huishia kuwa michicha miba (michele)...
Nakujua wewe😜Anajikuza tu hamna mwenye yuko na time nae
Nikaze nini, Wapi nimesema nalegeza?M2anangu kaza usije ukapakatwa
Mwandiko wako tu unamapozi sanaNikaze nini, Wapi nimesema nalegeza?
Mapozi ya Jay melody au Mr blue?Mwandiko wako tu unamapozi sana
Sawa Mr Mzuri vipi nasikia una miguu raini piaKuhusisha mada yangu na upinde sio sahihi
‘raini' ndyo nini?Sawa Mr Mzuri vipi nasikia una miguu raini pia
Mapoz ya nandyMapozi ya Jay melody au Mr blue?
Wewe ni shabiki wa Nandy?Mapoz ya nandy