Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuna wanawake wanajeshi 40,000 katika jeshi la Ukraine, pia huwezi kumnyang'anya mtu uraia wake kwa sababu zozote zile, hata kwa makosa ya Ukraine, achilia mbali kutokwenda vitani.
Halafu kwa hoja zako wanaume wote wa Russia wafukuzwe pia nchini mwao kwa sababu ya kuanzisha vita ya kipumbavu iliyoua maelfu ya raia.
 
Jifunze kwanza tofauti ya private na public listed company, fahamu pia Steve jobs aliwahi kutimuliwa katika kampuni ya Apple aliyoinzisha.
 
Unamaanisha zanani ulikuwa vzr kiuchumi ila sasahivi umefilisika?
Sikuwa vzr kiuchumi ila angalau msosi mara tatu na zaidi kwa siku ulikuwa uhakika ndani, ila sasa hv mambo yamekaa vibaya kwahy nae amebadilika.
Inshort tuseme upo sahihi ulichoandika
 
Hamia dsm mikoani kuna washamba wengi sana
 
Surely hata kukudekeza atakudekeza Sana Na kukubembeleza he Will treat u like little daughter
 
It amplifies the inferiority complex ya wanaume wengi wa bongo. Wengi hawana exposure. Nawaonea huruma dada zetu.
Why are you gee!!
Huyo jamaa kwa dp ni balaa
 
Mpaka siku mkija kuanza utaratibu wa kulipa mahari ndio mtakuwa free.
 
Mtoa mada kama ni mwanaume basi ni shoga, msipokuta shoga, nimekaa pale
 
Mpaka siku mkija kuanza utaratibu wa kulipa mahari ndio mtakuwa free.
Mahari ni aina nyingine ya biashara ya binadamu, ni mambo ya karne ya 17.
 
Kuna manzi mmoja feminist tubapiga nae mishe sehemu yani ana inferiority kichiz afu kupigwa paipu hataki kutwa kushibdwa kwa pastor tony siku nkapptezeaga nkaja sikia analiwa mate na jamaa na jamaa mmoja hv karani afu jamaa wife wake katoka jifungua majuzi tu nkajua wanwakae wakisasa wananatatizo nilifabya maamuzi sahihi mda tu
 
Sijaona muunganiko wa story yako kati ya ufeminist na hayo mambo mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…