Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Ufahamu wako wa mambo ni ndogo sana nimeshakwambia kwenye Kila jambo.


Pamoja na hivyo, hoja inayojadiliwa hapa ni kwamba kwa vile wanawake hawako tayari kuhusika kwa namna yoyote ile na matokeo ya maamuzi ya wanaume yanayohusu mstakabali wa nchi kama vile vita n.k basi vile vile pia hawana sababu ya kushobokea au kutaka kunufaika na chochote chenye manufaa kinachotokana na maamuzi ya mwanaume, kwa mfano kama Sasa hivi ikitokea wanaume wa Ukraine wamaishinda vita dhidi ya warusi inayoendelea nchini kwao basi taifa la Ukraine litakuwa ni Mali ya wanaume na wanawake wote waliokimbia wakitaka kurudi watakuja kwa passport au kwa kuwaomba ruhusa wanaume wa Ukraine kwa sababu wanaume wa Ukraine ndio waliolipambania taifa lao mpaka amani ikarejea na wanawake hawakuhusika kwa namna yoyote....
Kuna wanawake wanajeshi 40,000 katika jeshi la Ukraine, pia huwezi kumnyang'anya mtu uraia wake kwa sababu zozote zile, hata kwa makosa ya Ukraine, achilia mbali kutokwenda vitani.
Halafu kwa hoja zako wanaume wote wa Russia wafukuzwe pia nchini mwao kwa sababu ya kuanzisha vita ya kipumbavu iliyoua maelfu ya raia.
 
Ufahamu wako wa mambo ni ndogo sana nimeshakwambia kwenye Kila jambo.

Ndio hayo makampuni yanamilikiwa kwa shares lakini wale largest shareholders ambao mara nyingi ni waanzilishi wa makampuni wao ndio wenye nguvu kimaamuzi na wanaweza kuamua wamuajiri nani na wamuache nani... Kwa mfano Elon Musk alivyoinunua Twitter alifukuza zaidi ya 55% ya wafanyakazi wote aliowakuta ambao aliona hawendani na sera mpya za kampuni hiyo,
Jifunze kwanza tofauti ya private na public listed company, fahamu pia Steve jobs aliwahi kutimuliwa katika kampuni ya Apple aliyoinzisha.
 
Unamaanisha zanani ulikuwa vzr kiuchumi ila sasahivi umefilisika?
Sikuwa vzr kiuchumi ila angalau msosi mara tatu na zaidi kwa siku ulikuwa uhakika ndani, ila sasa hv mambo yamekaa vibaya kwahy nae amebadilika.
Inshort tuseme upo sahihi ulichoandika
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Hamia dsm mikoani kuna washamba wengi sana
 
Most of women hawajui jinsi ya kuishi na wanaume, unapokuwa masculine na kutunishiana misuli na mwanaume wako hawez kukupenda na kukupa heshima kama mwanamke wake na huwez kamwe kum-control, atakuona kama mpinzani wake tuu(mwanaume mwenzake) but ukiwa feminine ndo utaweza kumwendesha kama utakavyo kwasababu he will lower his guard, mwanaume akipata amani nyumbani atafanya kila kitu aidumishe hio amani.
Surely hata kukudekeza atakudekeza Sana Na kukubembeleza he Will treat u like little daughter
 
Mpaka siku mkija kuanza utaratibu wa kulipa mahari ndio mtakuwa free.
 
Mtoa mada kama ni mwanaume basi ni shoga, msipokuta shoga, nimekaa pale
 
Mpaka siku mkija kuanza utaratibu wa kulipa mahari ndio mtakuwa free.
Mahari ni aina nyingine ya biashara ya binadamu, ni mambo ya karne ya 17.
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Kuna manzi mmoja feminist tubapiga nae mishe sehemu yani ana inferiority kichiz afu kupigwa paipu hataki kutwa kushibdwa kwa pastor tony siku nkapptezeaga nkaja sikia analiwa mate na jamaa na jamaa mmoja hv karani afu jamaa wife wake katoka jifungua majuzi tu nkajua wanwakae wakisasa wananatatizo nilifabya maamuzi sahihi mda tu
 
Kuna manzi mmoja feminist tubapiga nae mishe sehemu yani ana inferiority kichiz afu kupigwa paipu hataki kutwa kushibdwa kwa pastor tony siku nkapptezeaga nkaja sikia analiwa mate na jamaa na jamaa mmoja hv karani afu jamaa wife wake katoka jifungua majuzi tu nkajua wanwakae wakisasa wananatatizo nilifabya maamuzi sahihi mda tu
Sijaona muunganiko wa story yako kati ya ufeminist na hayo mambo mengine.
 
Back
Top Bottom