Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Wewe ukiwa mwanaume utakubali kwenda kupigana katika vita vilivyoanzishwa na wanawake?
Hata kama haukubali, huo ndio ukweli
Vita vikubwa vyote vya dunia vimeanzishwa na wanaume, genocides zote zimeanzishwa na kutekelezwa na wanaume, ni ujinga kudai wanawake wafe kwa sababu ya ujinga usiowahusu. Kama mnataka na wawo washiriki kikamilifu vitani na katika mauaji ya kimbari wapewe fursa kikamilifu za kuanzisha vita, mizozo ya kisiasa na mauaji ya kimbari.
Una ubongo wa kuku usioweza kufikiri Sawa sawa zaidi tu ya kuvuruga vuruga matope yaliyochanganyikana na mavi.

Sina hata haja ya kuandika maelezo marefu maana huna akili.

Vita vinaanzishwa na maadui na huyo adui haangaliwi kwa misingu ya jinsia yake Bali kwa lengo ovu alilonalo. Na hakuna watu wa jinsia Fulani wanaomtuma adui huyo "kwamba njoo utushambulie, sisi tunapigana na wewe kisha watu wa jinsia Fulani usiwaguse".. this is how ridiculous your argument is

Ukraine wamevamiwa na Urusi Kila mtu anajua sababu, sio serikali ya Ukraine Wala wanaume wa Ukraine waliosababisha uvamizi huo Bali ni ubabe na matakwa ya kishenzi ya serikali ya Urusi ndio chanzo Cha hiyo vita.... Halafu wewe hapa unasema eti wanaostahili kupigana kwenye hiyo ni wanaume wa Ukraine pekee tu na wanawake hawahusiki, hivi una akili kweli wewe?

Kwa hiyo unataka kutwambia leo hii jambazi wa kike akiingia ndani mwako akiwa na bastola au silaha yoyote hatarishi, wewe hautaangaika nae kumkabili na badala yake utamuachia mkeo ndio apambane nae peke yake eti kisa tu ni mwanamke mwenzie???.... Nyie feminists sijui huwa mnatumia kiungo gani ku reason, maana hoja zenu huwa ni za kipuuzi sana halafu mnajionaga eti mko smart kumbe wajinga tu
 
Kwa nini wanawake wakafe katika vita vilivyoanzishwa kwa ujinga wa wanaume wenye kushindanisha ego zao na kutunishiana misuli?? Hata wanaume wenye akili huwa wanajitahidi sana kuepusha, kuepuka au kuepukwa na vita.
Wewe kwa comments zako tu unaonesha una mtindio wa ubongo kichwani, shenzy kabisa....

Basi kwa logic yako hii tusema hii dunia ni Mali ya mwanaume maana yeye ndio anauweze wa kuiharibu na kuilinda na wanawake hawana uwezo wa kuzuia chochote si ndio??
 
Mbona umeandika hii hoja kama ni mtu ambaye hujashilikisha ubongo wako?

Kwani vita siku zote ni lazima pande zote mbili ziwe ndio tatizo?

Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa vita ya Tanzania na Uganda, Tanzania tulipaswa ku bow down na kumuachia Iddi Amini aichukue Kagera kwasababu kupigana kwetu kulinda ardhi yetu kungeonesha sisi pia ni wajinga?

Kweli huu ndio aina ya utetezi wako wa kutuelezea mechanism ya feminism kwanini ina mipaka linapokuja swala gumu?

Unawashauri wanawake wasishobokee maendeleo na fursa zinazoletwa na hao viongozi wanaume kwasababu kama vita hawaitolei shobo kwakuwa ya kile ulichokiita ni ujinga wa viongozi wakiume basi hata maendeleo pia ni dedicated kwa raia ambao ni wanaume na haziwahusu wanawake?
Huyo jamaa aina yake ya reasoning ni ya kipuuzi sana ila kwa bahati mbaya sana feminists wengi huwa Wana reason kama yeye...

Kwa mujibu wa mantiki yake, jwa vile wanawake hawatakiwi kuhusika na consequences zozote zinazotokana na maamuzi ya ya kipuuzi ya mwanaume, basi hivyo hivyo hawapaswi kuwa na shobo na chochote kile kilichoanzishwa na mwanaume na kina matokeo chanya, kwa hiyo hata makampuni makubwa yote ulimwenguni kama google,Tesla, Facebook, Adidas etc wanawake hawatikiw kabisa kujiona kama wameonewa pale wanaponyimwa fursa zinazotolewa na makampuni haya kwa sababu ni makampuni ambayo leo hii yako hapo kwa juhudi na maamuzi ya wanaume... Najua hawezi kuwa tayari kwa aina hii ya conversation mjinga huyu
 
Hata waanzishaji wa hiyo feminism ambayo inawapa ujeuri ni wanaume pia so what's your point dude?

Fact ya kwamba wanaume ndio wanaanzisha vita sio fact inayomuengua mwanamke kwenye uwajibikaji wa kupambana vitani.

Mbona kwenye ndoa tumeona mali zinaweza kuanzishwa na mwanaume lakini siku ya talaka unafanyika mgawanyo wa 50/50?

Tena kwa fact ya kipumbuvu kabisa utaskia "kulea watoto pamoja na kazi za nyumbani ni sehemu ya kumfanya mwanamke awe sehemu ya umiliki wa hizo mali"

Kwa fact hiyo hata wanawake wanaoneemeka na maendeleo yanayotokana na uongozi wa wanaume wanapaswa kwenda vitani.
Comment nzito sana hii ila nna doubt kama hataweza hata kuelewa simple logic iliyopo hapa
 
Sijaelewa point yako, sioni mantiki ya hii hoja yako, yani kwa sababu ulimualika mtu akachangia na akaja kwenye harusi yako lazima pia ukimualika katika mgogoro wako wa kudaiwa kuvamia kiwanja cha mtu aje pia??
Wewe jamaa hebu kuwa na akili hata za kuazima basi, Sasa huo mfano wako una correlation gani na alichokiandika Scars?

Kwamba una maanisha wanawake ni kama wagenj wa wanaume tu hapa duniani ambapo wamiliki wake halali ni wanaume au?

Mbona dishi lako limeyumba sana? Na pia ametoa mfano kwenye suala la kugawana Mali kwenye taraka hata zile ambazo mwanamke hajashiriki kuzitafuta, mbona Hilo hujaliona?? Ndio maana nasema nyie feminists aliyewapa nguvu hii mliyonayo ana dhambi kubwa sana
 
Uko too irrelevant na umeonesha kutoelewa nilichoandika.

Kwa ufupi tu

Umesema "wanawake wanapaswa kugomea kwenda vitani kwasababu walioanzisha vita ni wanaume"

Hii ni hoja unayoonesha udhaifu wa wanawake katika ngazi za juu za maamuzi ya mwisho.

Umeonesha kwamba hawapaswi kupewa dhamana ya kuwa top leaders kwasababu ya uoga wao na jinsi walivyo incompetence kwenye battle field.

Hiyo ni hoja ambayo unaonesha kuwa wanayopaswa wanawake kufanya ni yale tu ambayo yamesababishwa na wanawake wenzao.

So basically unakuwa umekubali kuwa fursa zote ambazo zimeletwa na hao viongozi wanaume hazipaswi kushobokewa na wanawake.

Uhalali anaoweza kuupata mwanamke kwa kunufaika na uongozi wa wanaume basi ndio uhalali huo huo unaomtaka naye ajitokeze mstari wa mbele kupigania nchi yake.
Tangaza kazi za jeshi kesho uone wakina nani kati ya wanaume na wanawake watazikimbilia hizo kazi, sasa kama mtu hapendi kazi fulani utamlazimisha kuifanya?? Yani kama wewe hutaki kuwa daktari au police ukilazimishwa ni haki??
 
Haswaa. Unakuta wanafanya kila kitu binti zao waende shule halafu wanadanyanya wenzao waoe darasa la saba na mama wa nyumbani
Nikuulize swali naomba unijibu...

Ni kwanini serikali huwa inatangaza Kila leo kwamba uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako, lakini hapo hapo Bado inakuuzia wewe sigara??
 
Kwahiyo sasa hivi rais Samia akiingia kwenye mgogoro binafisi na kagame na akaamuru jeshi la Tz liivamie Rwanda wanajeshi wa kiume watagoma kwenda vitani badala yake watakusanywa wanawake ndo waende vitani kisa mgogoro umeanzishwa na wanawake wenzie?

Hapa duniani mamilion ya wanaume wamekufa wakipigania uhuru wa mataifa yao je huo uhuru wanawake hawafaidiki nao?

Uingereza chini ya malikia Elizabeth imeanzisha mgogoro mingapi hapa duniani ?
Kama nafasi ya kuzua mgogoro wamesha pewa na kuzua hiyo migogoro.
Hao wanawake wa kisasa unao wasema wamekuwa tatizo kubwa ndani ya jamii.
Wewe unaongolea vitu exceptionals, mimi naongela general, ni sawa na mtu anayeambiwa ngono zembe na uzembe mwingine ndio chanzo kikuu cha maambuzi ya UKIMWI yeye anajibu lakini unaweza kupata ajali damu ikachanganyikana ukapata UKIMWI.
 
Huyo jamaa aina yake ya reasoning ni ya kipuuzi sana ila kwa bahati mbaya sana feminists wengi huwa Wana reason kama yeye...

Kwa mujibu wa mantiki yake, jwa vile wanawake hawatakiwi kuhusika na consequences zozote zinazotokana na maamuzi ya ya kipuuzi ya mwanaume, basi hivyo hivyo hawapaswi kuwa na shobo na chochote kile kilichoanzishwa na mwanaume na kina matokeo chanya, kwa hiyo hata makampuni makubwa yote ulimwenguni kama google,Tesla, Facebook, Adidas etc wanawake hawatikiw kabisa kujiona kama wameonewa pale wanaponyimwa fursa zinazotolewa na makampuni haya kwa sababu ni makampuni ambayo leo hii yako hapo kwa juhudi na maamuzi ya wanaume... Najua hawezi kuwa tayari kwa aina hii ya conversation mjinga huyu
Inapofika kwenye hizi mada simwelewagi kabisa
 
Tangaza kazi za jeshi kesho uone wakina nani kati ya wanaume na wanawake watazikimbilia hizo kazi, sasa kama mtu hapendi kazi fulani utamlazimisha kuifanya?? Yani kama wewe hutaki kuwa daktari au police ukilazimishwa ni haki??
Hata sisi kwenye mali zetu tulizotafuta kwa jasho letu huwa hatupendi kugawana 50/50 na mwanamke kisa talaka

Kwa hiyo waambie wanawake nao wajifunze kupenda vile vyote ambavyo kwao wanaviona ni vigumu.
 
Una ubongo wa kuku usioweza kufikiri Sawa sawa zaidi tu ya kuvuruga vuruga matope yaliyochanganyikana na mavi.

Sina hata haja ya kuandika maelezo marefu maana huna akili.

Vita vinaanzishwa na maadui na huyo adui haangaliwi kwa misingu ya jinsia yake Bali kwa lengo ovu alilonalo. Na hakuna watu wa jinsia Fulani wanaomtuma adui huyo "kwamba njoo utushambulie, sisi tunapigana na wewe kisha watu wa jinsia Fulani usiwaguse".. this is how ridiculous your argument is

Ukraine wamevamiwa na Urusi Kila mtu anajua sababu, sio serikali ya Ukraine Wala wanaume wa Ukraine waliosababisha uvamizi huo Bali ni ubabe na matakwa ya kishenzi ya serikali ya Urusi ndio chanzo Cha hiyo vita.... Halafu wewe hapa unasema eti wanaostahili kupigana kwenye hiyo ni wanaume wa Ukraine pekee tu na wanawake hawahusiki, hivi una akili kweli wewe?

Kwa hiyo unataka kutwambia leo hii jambazi wa kike akiingia ndani mwako akiwa na bastola au silaha yoyote hatarishi, wewe hautaangaika nae kumkabili na badala yake utamuachia mkeo ndio apambane nae peke yake eti kisa tu ni mwanamke mwenzie???.... Nyie feminists sijui huwa mnatumia kiungo gani ku reason, maana hoja zenu huwa ni za kipuuzi sana halafu mnajionaga eti mko smart kumbe wajinga tu
Ni nadra nchi zinazoongozwa na wanawake kuanzisha vita dhidi ya nchi nyingine, vita vyote vikubwa vilivyoleta madhara makubwa zaidi dunianj vimeanzishwa na wanaume.
 
Wewe kwa comments zako tu unaonesha una mtindio wa ubongo kichwani, shenzy kabisa....

Basi kwa logic yako hii tusema hii dunia ni Mali ya mwanaume maana yeye ndio anauweze wa kuiharibu na kuilinda na wanawake hawana uwezo wa kuzuia chochote si ndio??
Mtindio wa ubongo ni ulemavu msiwe mnapenda kutumia hili jambo kama matusi au dhihaka.
 
Huo ni mpango wa muda mrefu wa kuua familia. Keep away fadha then all children remain with woman after that come generation of no fadha and be like dogs 🐶 🐶 🐶
 
Hata sisi kwenye mali zetu tulizotafuta kwa jasho letu huwa hatupendi kugawana 50/50 na mwanamke kisa talaka

Kwa hiyo waambie wanawake nao wajifunze kupenda vile vyote ambavyo kwao wanaviona ni vigumu.
Kwenye talaka mali huwa hazigawanywi 50/50, huu ni uzushi na uongo tu wa mtaani ambao umerudiwa sana mpaka umeaminika na wengi kama kweli na fact.
 
Kwa mujibu wa mantiki yake, jwa vile wanawake hawatakiwi kuhusika na consequences zozote zinazotokana na maamuzi ya ya kipuuzi ya mwanaume, basi hivyo hivyo hawapaswi kuwa na shobo na chochote kile kilichoanzishwa na mwanaume na kina matokeo chanya, kwa hiyo hata makampuni makubwa yote ulimwenguni kama google,Tesla, Facebook, Adidas etc wanawake hawatikiw kabisa kujiona kama wameonewa pale wanaponyimwa fursa zinazotolewa na makampuni haya kwa sababu ni makampuni ambayo leo hii yako hapo kwa juhudi na maamuzi ya wanaume... Najua hawezi kuwa tayari kwa aina hii ya conversation mjinga huyu
Google, Tesla, Facebook, na Adidas ni kampuni binafsi hakuna shida kama wakiamua hawataki wanawake kuwa wafanyakazi au kutangaza biashara zao pamoja na kununua bidhaa zao.
 
Kwenye talaka mali huwa hazigawanywi 50/50, huu ni uzushi na uongo tu wa mtaani ambao umerudiwa sana mpaka umeaminika na wengi kama kweli na fact.
Ulizowahi kushuhudia wewe uliona zinagawanywa kwa asilimia ngapi ngapi?
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
😂😂😂😂😂 vita bado mbichi..
 
Back
Top Bottom