Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Kwani hata wale mabinti wa Elon Musk nao wakija itawawia vigumu hapa Tanganyika?
 
Kwa nini wanawake wakafe katika vita vilivyoanzishwa kwa ujinga wa wanaume wenye kushindanisha ego zao na kutunishiana misuli?? Hata wanaume wenye akili huwa wanajitahidi sana kuepusha, kuepuka au kuepukwa na vita.
Mbona umeandika hii hoja kama ni mtu ambaye hujashilikisha ubongo wako?

Kwani vita siku zote ni lazima pande zote mbili ziwe ndio tatizo?

Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa vita ya Tanzania na Uganda, Tanzania tulipaswa ku bow down na kumuachia Iddi Amini aichukue Kagera kwasababu kupigana kwetu kulinda ardhi yetu kungeonesha sisi pia ni wajinga?

Kweli huu ndio aina ya utetezi wako wa kutuelezea mechanism ya feminism kwanini ina mipaka linapokuja swala gumu?

Unawashauri wanawake wasishobokee maendeleo na fursa zinazoletwa na hao viongozi wanaume kwasababu kama vita hawaitolei shobo kwakuwa ya kile ulichokiita ni ujinga wa viongozi wakiume basi hata maendeleo pia ni dedicated kwa raia ambao ni wanaume na haziwahusu wanawake?
 
Hujanielewa mkuu.
nimeirudia hoja yako hapo juu sasa nimekuelewa nimeona jinsi unavyoshangazwa na maswali ya Hawa vipanga pisi Kali wasio hitaji ruhusa kwa waume zao maana chuo kagonga GPA 4.9 sasa anaanzaje kuja kuomba ruhusa kwa Mme wake tena inawezekana ana GPA 3.8 au huenda hata chuo hakufika zaidi ya biashara yake ya utalii inayowalisha hapo home.

Mungu hapendi talaka lakini kwa mke wa namna hiyo anayetaka uhuru,ajiondikee tu nyumbani bila ya ruhusa na kurudi mda anaotaka ,asiyetoa mchango wa mahusiano ya baba na mama katika kulea watoto ni mbaya sana kwa watoto ila mke wa namna hiyo kinachomfaa ni talaka, aje kuolewa na GPA yake,kazi yake akamtafute mwanaume ambaye anaona ataendana nae maana mkiwa na GPA sawa huyu hutamuweza
ukiwa umemzidi elimu umpandie paka PhD bado atakusumbua,ukiwa na pesa nyingi bado atakusumbua
hata ukiwa na cheo bado ataona anahitaji ku build brand yake mwenyewe ,tunao hao makazini na kwenye jamii tumebaki tunawaangalia tu tunavyoangalia series za Jua Kali.
 
Mbona umeandika hii hoja kama ni mtu ambaye hujashilikisha ubongo wako?

Kwani vita siku zote ni lazima pande zote mbili ziwe ndio tatizo?

Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa vita ya Tanzania na Uganda, Tanzania tulipaswa ku bow down na kumuachia Iddi Amini aichukue Kagera kwasababu kupigana kwetu kulinda ardhi yetu kungeonesha sisi pia ni wajinga?

Kweli huu ndio aina ya utetezi wako wa kutuelezea mechanism ya feminism kwanini ina mipaka linapokuja swala gumu?

Unawashauri wanawake wasishobokee maendeleo na fursa zinazoletwa na hao viongozi wanaume kwasababu kama vita hawaitolei shobo kwakuwa ya kile ulichokiita ni ujinga wa viongozi wakiume basi hata maendeleo pia ni dedicated kwa raia ambao ni wanaume na haziwahusu wanawake?
Waanzishaji vita siku zote wamekuwa wanaume( kwa 99%). Wanaoweza kuvizuia vita ni wanaume wenyewe.
Vita pia vina mahusiano biology ya binadamu. Homoni ya testosterone ambayo ni homoni kuu ya wanaume inahusika zaidi na violence, aggression na vita. Hii homoni inaitwa "aggression hormone" na inahusika pakubwa katika masuala ya vurugu na vita, wanawake wanayo kwa kiwango kidogo sana.
 
Hakuna kitu wanaume wanaogopa kama kushindwa na mwanamke katika maisha,kazi,pesa,elimu na kila kitu

No wonder kuna wanaume wanaamuq kuoa golikipa bora maisha yampige lakini awe na mnyonge wake nyumbani

Inferiority complex yasumbua wanaume

Hii sio kweli kabisa, shida Wanawake wa kisasa ni wajinga mno.

Sijapata kuona Wanawake wajinga kama Hawa wanao jifanya au waliosoma, yaani kwanza wao wametengenezwa kutufanya sisi kuwa ndio adui wao wa kwanza, kinyume na asili ilivyo.

Mwanamke ambaye anashindwa kuona madhara mbeleni na huku yapo wazi kabisa, huyo sio mwanamke.

Na ni ujinga kujiingiza katika matatizo ya kujitakia na sio uoga huo.
 
Inabidi kuishi kutokana na haayo mabadiliko na kutafuta jinsi ya kuendana nayo. Otherwise, tutapata tabu sana

Tabu ndio hii sasa inayotokana na kufata hayo mabadiliko. Lazima akili itumike sio kila mabadiliko yanafatwa, kuna vitu vimeshatangulia muda, yaani havipitwi na wakati hasa maadili . Ndio maana ukienda kinyume na maadili lazima uharibikiwe.

Mwanamke wa kisasa amefanywa mjinga na kutumia kama chombo cha starehe, imefikia hata yale yanayo mdhuru anaona ndio sawa ila yale yenye kumpa hadhi na heshima anayapiga vita, unajiuliza akili zao wanazitumia kwenye nini ?

Siku zote mwanamke anahitaji uangalizi wa mwanaume na usimamizi awe atakavyo kuwa.
 
Waanzishaji vita siku zote wamekuwa wanaume( kwa 99%). Wanaoweza kuvizuia vita ni wanaume wenyewe.
Vita pia vina mahusiano biology ya binadamu. Homoni ya testosterone ambayo ni homoni kuu ya wanaume inahusika zaidi na violence, aggression na vita. Hii homoni inaitwa "aggression hormone" na inahusika pakubwa katika masuala ya vurugu na vita, wanawake wanayo kwa kiwango kidogo sana.
Hata waanzishaji wa hiyo feminism ambayo inawapa ujeuri ni wanaume pia so what's your point dude?

Fact ya kwamba wanaume ndio wanaanzisha vita sio fact inayomuengua mwanamke kwenye uwajibikaji wa kupambana vitani.

Mbona kwenye ndoa tumeona mali zinaweza kuanzishwa na mwanaume lakini siku ya talaka unafanyika mgawanyo wa 50/50?

Tena kwa fact ya kipumbuvu kabisa utaskia "kulea watoto pamoja na kazi za nyumbani ni sehemu ya kumfanya mwanamke awe sehemu ya umiliki wa hizo mali"

Kwa fact hiyo hata wanawake wanaoneemeka na maendeleo yanayotokana na uongozi wa wanaume wanapaswa kwenda vitani.
 
Tabu ndio hii sasa inayotokana na kufata hayo mabadiliko. Lazima akili itumike sio kila mabadiliko yanafatwa, kuna vitu vimeshatangulia muda, yaani havipitwi na wakati hasa maadili . Ndio maana ukienda kinyume na maadili lazima uharibikiwe.
Maadili ya karne ya saba sio maadili ya leo, pia maadili yanaendena na level ya sayansi na teknolojia. Mkiwa katika level ndogo ya sayansi na teknolojia maadili yenu yanakuwa ya kijima zaidi na kandamizi kwa wanawake.
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Huo ndouanamke 🙌
 
Hata waanzishaji wa hiyo feminism ambayo inawapa ujeuri ni wanaume pia so what's your point dude?

Fact ya kwamba wanaume ndio wanaanzisha vita sio fact inayomuengua mwanamke kwenye uwajibikaji wa kupambana vitani.

Mbona kwenye ndoa tumeona mali zinaweza kuanzishwa na mwanaume lakini siku ya talaka unafanyika mgawanyo wa 50/50?

Tena kwa fact ya kipumbuvu kabisa utaskia "kulea watoto pamoja na kazi za nyumbani ni sehemu ya kumfanya mwanamke awe sehemu ya umiliki wa hizo mali"

Kwa fact hiyo hata wanawake wanaoneemeka na maendeleo yanayotokana na uongozi wa wanaume wanapaswa kwenda vitani.
Sijaelewa point yako, sioni mantiki ya hii hoja yako, yani kwa sababu ulimualika mtu akachangia na akaja kwenye harusi yako lazima pia ukimualika katika mgogoro wako wa kudaiwa kuvamia kiwanja cha mtu aje pia??
 
Uliyo yaandika kwangu ni kweli yote siwezi oa mwanamke mwenye sifa hizo. Sana sana anizisi uzuri tu basi lkn sio vingine hapo juu
 
Huu wimbo wa wanaume wameumbwa matesoooo,,ubadilishwe sasa,uwe

Wanawake wasasa tumeumbwa matesoooo

kuhangaikaaaa.....
 
Back
Top Bottom