Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Nimruhusu kwani mimi mwalimu wake wa nidhamu
Kwani kuna mtu ana funguo ya naniliu yako we itumie ila raba zikichoka usije ukaenda kwa mwamposa kutafuta ndoa maana siku hizi mnazaliwa huku mkiwa na xpayadet,kila siku vyuma vinazinduliwa vipya 0km sasa we kaza fuvu ilo kapu lako litakuwa ni maji ya moto na kuokota wanaume na wewe uwe unagharamia show.
 
Ukiwa daktari au waziri hiyo mbona mume tayari anakua anajua mkuu?!

Ila awe mama wa nyumbani au bread winner wa familia LAZIMA mke aombe ruhusa kwa mumewe huwezi tu kuwa ukijisikia unakurupuka kiguu na njia.

Hiyo ya vicoba inaweza isiwe shida na kama unaona dalili za kuchelewa si unapiga tu kumjulisha mapema.
Shida inakuja inapokua ni tabia.

Hii picha ya mke wa mtu kujiondokea bila ruhusa na kurudi late inagoma kichwani mwangu hasa nikifikiria wengi waloolewa ni kama vilema kila kitu akutafutie mwanaume hlf umdharau hivyo😀 ndo mana nawaelewa KATAA NDOA.
Mbona hata Waziri Dr Dorothy Gwajima anaonyesha live pamoja na uwazi wake jinsi anavyoendana na mume wake ,nyie wengine mnashindwa wapi kuendana na waume zenu mpaka mnanyimwa ruhusa?

unaleta jeuri kwa mume wako kisa una cheo kikubwa , mmemsahau yule makamu wa Rais wa Uganda yule mama alivyolambwa makofi na.mume wake hadharani kwa kumdhalilisha mume kumtaka amtii kwa kuwa alikuwa makamu wa Rais akawa anamfokea mume wake hadharani mwisho alilambwa makofi na baadae hata huo umakamu wa Rais akaja kuukosa akatorokea marekani ,
mkae mkijua hakuna kitu kinaitwa uhuru kwenye ndoa ,ukilazima uhuru tunawaacha muendelee na uhuru mnaotafuta kwa kuchukua haiba za wanawake wa kizungu waumini wa maisha ya uhuru na kuolewa na kutulia baada ya kumaliza anasa zote nq wapo walioamua kuishi bila ya kuolewa napo barido tu.
 
Binadamu mabadiliko yake anayopitia ni ya ukubwa na udogo wa miili ila tabia ndo zile zile toka adam mpaka binadam wa mwisho hivi unavyoona wanawake walivyo ni matokeo ya wanaume,sisi ndo tunawaweka wanawake vile walivyo tukiamua wanaume wote tuwafanye mama wa nyumbani wote mtakuwa mama wa nyumbani hata huo uhuru wao wamepewa na wanaume magasho wanaojiona wao ni kama wanawake.Wanaume wenzangu ili kuifanya dunia iwe tulivu na salama popote ulipo hakikisha unambana mwanamke,kwani mwanamke hawezi kuutumia uhuru ukimwacha huru ataalibu kama unabisha kama unaishi na mke we mpe uhuru alafu subiri kitakacho tokea,kama dada zako wa kike fanya hivyo alafu subiri matokeo Dawa bana hawa kwa ustawi wa dunia na walimwengu.
Aa wapi, kwa mamlaka gani uliyonayo? Labda uwe Taliban huko
 
Hii picha ya mke wa mtu kujiondokea bila ruhusa na kurudi late inagoma kichwani mwangu hasa nikifikiria wengi waloolewa ni kama vilema kila kitu akutafutie mwanaume hlf umdharau hivyo😀 ndo mana nawaelewa KATAA NDOA.
Mume wako akitaka kutoka huwa anakuomba ruhusa? Akichelewa kurudi huwa anakutaarifu mapema?
 
Mbona hata Waziri Dr Dorothy Gwajima anaonyesha live pamoja na uwazi wake jinsi anavyoendana na mume wake ,nyie wengine mnashindwa wapi kuendana na waume zenu mpaka mnanyimwa ruhusa?

unaleta jeuri kwa mume wako kisa una cheo kikubwa , mmemsahau yule makamu wa Rais wa Uganda yule mama alivyolambwa makofi na.mume wake hadharani kwa kumdhalilisha mume kumtaka amtii kwa kuwa alikuwa makamu wa Rais akawa anamfokea mume wake hadharani mwisho alilambwa makofi na baadae hata huo umakamu wa Rais akaja kuukosa akatorokea marekani ,
mkae mkijua hakuna kitu kinaitwa uhuru kwenye ndoa ,ukilazima uhuru tunawaacha muendelee na uhuru mnaotafuta kwa kuchukua haiba za wanawake wa kizungu waumini wa maisha ya uhuru na kuolewa na kutulia baada ya kumaliza anasa zote nq wapo walioamua kuishi bila ya kuolewa napo barido tu.


Hujanielewa mkuu.
 
Yaani watu wanataka kuwa na version ile ile ya wanawake wz mwaka 47 ili hali kila kitu kinabadika. Kama ilivyo mabadiliko ya kiteknolojia, tabia nchi etc ndio hivyo binadamu hubadilika.

Inabidi kuishi kutokana na haayo mabadiliko na kutafuta jinsi ya kuendana nayo. Otherwise, tutapata tabu sana
Halafu hakuna wanawake rahisi kuishi nao kama wasasa, nikulegeza tu ubongo wako , unapata mke rafiki na mtani wako na wala sio mtumwa wako📌🔨
 
Kabisa. Tatizo wanataka kuwa na mke kama kijakazi
Mke wa hivyo binafsi simtaki atanifanya nikashinde bar, mke awe mcheshi mtani anaejua mambo mengi mda mwingine mbishane , mke kijakazi anachosha.
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Watu wenye mitazamo kama yako wakijazana serikalini na wakawa na command jamii itakuwa ya hovyo sana

Viburi walivyokuwa navyo wanawake siku hizi vimechochewa na wanaume wa design yako(sorry sina uhakika na jinsia yako)

Wanawake wengi katika jamii ya kitanzania hata hawana shobo na huo mnaouita uhuru wa wanawake wanafanya kulazimishwa na sheria zinazotungwa ambazo wao hawajashiriki na sheria hizo hutungwa na wanaume wenye mtazamo kama wako kwa kigezo cha usasa

Hata hao wasomi ambao wameelimika hasa na wakatambua umuhimu wa maadili hawawezi kupigania uhuru wa hovyo kama huo ulioueleza hapo

Ni wanawake wahuni tu waliokubuhu na umalaya wakapambania kuwa na madanga wenye vyeo vikubwa nchini au wao kuwa na pesa au vyeo ndio huwaambukiza wahuni wenziwe na ku- influence sheria za nchi, na vile magharibi imeshika dunia zinakuwa rahisi kutekelezwa

Kuwa mwanaume pia kunahitaji uanaume
 
Na nyie dada zangu shida huwa nini lakini na mahaba kwa wanaume wa hovyo?
Unakuta mwanamke mzuri ameganda kwa mtu mwenye mawazo ya caveman wa karne ya saba!
Mwanamke mzuri ndio yukoje na mwanaume wa hovyo ni yupi? Wewe si bure utakuwa ni mpagani maana hakuna kitabu chochote cha dini kinaweza kukusapoti kimaandiko.

Haya wewe wa kisasa kapakwe vilainishi hiyo ndio dunia yenu ya kisasa.
 
Mke/mwanamke wako sio mtoto wako.
Amekuja kufanya nini kwangu? Angetaka kuwa huru kwa kila kitu angebaki kwao asiwe chini ya mwanamume.

Nyie feminists mnawadanganya sana mabinti wenzenu mwisho wa siku ama hawaolewi ama wanaachika kizembe sana.

Mwenzako Joyce anajifanya feminist matokeo yake ameachika mara nne na hakuna dalili ya kuolewa tena.
 
nikifikiria wengi waloolewa ni kama vilema kila kitu akutafutie mwanaume hlf umdharau hivyo😀 ndo mana nawaelewa KATAA NDOA.
Huenda hapa ndipo tatizo kubwa zaidi lilipo. Inabidi wanawake kwenye ndoa wajitihadi sana ku-offer zaidi ya sex na kutunza watoto.
Vipi lakini ukiolewa ukiwa kama sio kilema unachangia mchango mzuri kuboresha hali ya familia??
 
Vyote ulivyo vitaja ukikubali kuvikosa ndio unakuwa wife material! Be free but within the cage ndio ndoa inataka hivyo
 
Amekuja kufanya nini kwangu? Angetaka kuwa huru kwa kila kitu angebaki kwao asiwe chini ya mwanamume.

Nyie feminists mnawadanganya sana mabinti wenzenu mwisho wa siku ama hawaolewi ama wanaachika kizembe sana.

Mwenzako Joyce anajifanya feminist matokeo yake ameachika mara nne na hakuna dalili ya kuolewa tena.
Lakini amiin nawaeleza dawa ya mwanamke ni mwanamke Mwenzake., sasa ukizinguliwa na mke ongeza mke mwingine atachaguwa kuondoka au ashindane na mke mwenzake kukupa good time.
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Mkuu Yoda kumbe wewe ni KE?
 
Back
Top Bottom