Binadamu mabadiliko yake anayopitia ni ya ukubwa na udogo wa miili ila tabia ndo zile zile toka adam mpaka binadam wa mwisho hivi unavyoona wanawake walivyo ni matokeo ya wanaume,sisi ndo tunawaweka wanawake vile walivyo tukiamua wanaume wote tuwafanye mama wa nyumbani wote mtakuwa mama wa nyumbani hata huo uhuru wao wamepewa na wanaume magasho wanaojiona wao ni kama wanawake.Wanaume wenzangu ili kuifanya dunia iwe tulivu na salama popote ulipo hakikisha unambana mwanamke,kwani mwanamke hawezi kuutumia uhuru ukimwacha huru ataalibu kama unabisha kama unaishi na mke we mpe uhuru alafu subiri kitakacho tokea,kama dada zako wa kike fanya hivyo alafu subiri matokeo Dawa bana hawa kwa ustawi wa dunia na walimwengu.