Kuwa mwanaume kuna raha jamani, yaani miaka 93 anaoa mdada miaka 24?

Kuwa mwanaume kuna raha jamani, yaani miaka 93 anaoa mdada miaka 24?

Sio kweli,angalia wake za Vijana walivyochoka mwili na roho Hadi kuonekana wazee halafu kaangalie wake wa wazee walivyonawiri

Em kaolewe na lijibabu tena lijibabu la mjini lenye linajua hadi kitambaa cheupe wanafunga sa ngapi uone utamu wake.
 
Hee Babu wa la mjini Tena!huyo Hapana naongelea mtu mzima mwenye akili timamu
Mtu mzima yyte anaependa msichana ambae ana uwezo wa kumzaa, Huyo sio mtu mzima ni mtu kipande.
Na asilimia kubwa ukiingia nae kweny ndoa utajua ndoano inatengenezwa vip.
 
Mtu mzima yyte anaependa msichana ambae ana uwezo wa kumzaa, Huyo sio mtu mzima ni mtu kipande.
Na asilimia kubwa ukiingia nae kweny ndoa utajua ndoano inatengenezwa vip.
Ukikua utaelewa ninachozungumza Sasa hatuongei lugha moja..
 
Muda ya huyo manzi kula mafai yake unakribia😂😂akili mtu wangu
 
Kujichosha tu, ndo hutumia mpaka madawa kujiongezea ufanisi, kuna gharama kubwa tunapoenda against law of nature
Yule mama siyo kijana, ana miaka 63 (ijapokuwa anaonyesha bado kumekucha) kwa hivyo hapo ni kupeana kampani tu kuondoa upweke.
 
Back
Top Bottom