Kuwa mwanaume si Kazi rahisi, zingatia haya kulinda UANAUME wako

Kuwa mwanaume si Kazi rahisi, zingatia haya kulinda UANAUME wako

Vituo vya polisi,
Magereza,
Mahakama,
Kumbi za starehe zote,

Wateja wengi ni wanaume.
Mwanaume ndiye mmiliki wa hii Dunia.

Raha zote na karaha zote ni za mwanaume.

Ila 50 kwa 50 hawezi kuelewa.
Hata lile ghorofa pale kariakoo lilipobomoka, hakukuwa na yeyote wa 50/50 aliyeshika chepe. Wao ni vilio tu na kuhaha huku na huko
 
Back
Top Bottom