Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimependa hapa... LAZIMA BANDIKO LIKAE KINIDHAMUSawa ,lakini kumbuka watu wana mbinu za kivita kwenye mishe zao hivyo usidhani ,haya niliyoyaandika na Mimi nayaishi yote,ila ni lazima bandiko likae kinidhamu
Narudia tena,fanya KAZI Kwa UAMINIFU