Huku kitaa Kuna manzi ananilazimishia penzi kabisa yaani mpk nakosa Jinsi!!Haina ugumu wowote ukijiwekea misingi,japo kuna pisi huwezi kuruka unajikuta unaomba mkataba urekebishwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kitaa Kuna manzi ananilazimishia penzi kabisa yaani mpk nakosa Jinsi!!Haina ugumu wowote ukijiwekea misingi,japo kuna pisi huwezi kuruka unajikuta unaomba mkataba urekebishwe
Mimi unaniita dogoKumisiana ndio nini sasa wew dogo.
KWELI1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi.
2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda mrefu.
Labda kama ni Baba mzazi au mwanao,japo huwa sioni ulazima.
3.Epuka kuwa mwepesi wa kukopa vitu vidogovidogo,kama hakuna ulazima ukiamua kukopa kopa mzigo wa kutosha
Ukinyea kambi hama hapo la sivyo utafumaniwa, yatakukuta miksa kurogwaDaah hio 15 ngumu sana hiii.. kwasis bachelor
Shida huyu wa kitaa nishamwelekeza, nilihama mitaa flani kwasababu ya usumbufu wa hawa viumbe, walikuwa wanakuja Kama mvua! Ikabidi nitelekeze Kambi yangu!! Saivi sikubali nitawakataa hata wakija wanatambaaUkinyea kambi hama hapo la sivyo utafumaniwa, yatakukuta miksa kurogwa
Ebu nipe sababu ya kwanini usigonge demu wa mtaa mmoja14. Sitongoze tongoze hovyo
15. Usigonge demu wa mitaa unayoishi hata ajirahisishe vipi, utakuwa umenyea kambi
Kazi ni kipimo cha UTu ,We are proud KC Team.UHURU ni kuwa na KAZI,
Mkuu hiyo ni sheria niliyojiwekea tangu nikiwa kijana mdogo. Demu wa mtaa ninaoishi namchukulia kama dada yangu.Haina ugumu wowote ukijiwekea misingi,japo kuna pisi huwezi kuruka unajikuta unaomba mkataba urekebishwe
Mimi wananichukulia kama kaka Ila mimi natamani kuwala wengine hadi wananisalimia shikamoo nakataaMkuu hiyo ni sheria niliyojiwekea tangu nikiwa kijana mdogo. Demu wa mtaa ninaoishi namchukulia kama dada yangu.
Mkuu nimekupata kwa makini sana 1414. Sitongoze tongoze hovyo
15. Usigonge demu wa mitaa unayoishi hata ajirahisishe vipi, utakuwa umenyea kambi
NakaziaUsigombanie Mwanamke na mwanaume mwenzio.
Hapo kwenye kukopa kwakweli umenigusa, You Know! Mie sipend kukopa wala kudaiwa..😂1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi.
2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda mrefu.
Labda kama ni Baba mzazi au mwanao,japo huwa sioni ulazima.
3.Epuka kuwa mwepesi wa kukopa vitu vidogovidogo,kama hakuna ulazima ukiamua kukopa kopa mzigo wa kutosha.
4.Epuka kupigana bila sababu za msingi,na ikitokea huna namna usitishie,piga kweli muwahi opponent wako,kumbuka waweza kufa au kuumia vibaya ukiingia kichwakichwa.
5.Epuka kusuluhisha kuamlia ugomvi na ikitokea unalazimika, basi usioneshe upo upande wowote,shusha hasira za wahusika tu.
6.Iga vitu vizuri,ila visikupelekeshe fanya kwa mpango na umakini,
Umenunua simu fulani kisha unamuona Daniel ana simu fulani nzuri,unaanza kupaparika uwe na simu kama ya Dani, mwanaume hayupo hivyo.
7.Vaa,pendeza kuwa Casual,usiwe kama mwanamitindo ikiwa siyo pigo zako,nyoa nywele zako,ukipenda chana vizuri usinyoe stahili na mitindo ya vijana.
8.Sikiliza zaidi kuliko kuongea,utachorwa na kuonekana mshamba kuliko ,
Ukilazimika kuongea,wape nafasi wenzio siyo muda woooote usikilizwe wewe tu.
9.Kama una kichwa kibovu usioe,Usioe nakwambia, na kama ukioa Mpende mkeo. Usiruhusu agundue kuwa Una wivu sana.kuwa normal akitaka
Kut.....wa atagongwa hata sebuleni kwako na wewe upo chumbani.
Akileta dharau washa vibao Ila usimuumize kisha kesho mpe 200k akafanye shopping.
10.Piga kazi yeyote Kwa uaminifu,
UHURU ni kuwa na KAZI,
Panga malengo,
Timiza malengo.
Usikimbizane na walimwengu,
Kama wewe unatafuta milioni moja Kwa mwezi kuna wahuni wanatengeneza milioni Mia Kwa wiki hivyo usijione mnyonge.
Pambana tu
Mwanamke asikuamulie we ndie umuamulieMwanaume usikubali kabisa kuendeshwa na Mwanamke..
Pia hata kama ni mpole jitahidi aujue upande wako wa pili ukoje (Mara nyingi huwa anashuhudia Hasira zangu zilivyo kwa watu wengine) anajifunza na kuogopa pia kufanya mambo ya kipumbavu.
Chai.Usiache kunywa kilevi, kama hunywi jifunze. Mwanaume ni lazima upige gambe usipopiga gambe utakua huna tofauti na pisi kali.