Kuwa mwanaume si Kazi rahisi, zingatia haya kulinda UANAUME wako

Kuwa mwanaume si Kazi rahisi, zingatia haya kulinda UANAUME wako

1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi.

2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda mrefu.
Labda kama ni Baba mzazi au mwanao,japo huwa sioni ulazima.

3.Epuka kuwa mwepesi wa kukopa vitu vidogovidogo,kama hakuna ulazima ukiamua kukopa kopa mzigo wa kutosha
KWELI
Tupambane #tafutahela, pesa sio kila kitu ila ni ya muhimu itakusaidia kuepuka mengi ukiwa kidume inapaswa upambane haswa, maana pesa yako inahitajika sana, wazazi wanaisubiri pesa yako iwatunze, mpenzi/mke anaitaka avae, asuke atoke out, mchungaji anaisubiri sadaka yako, serikali ndio sasa inaikodolea macho iikate kodi kama zote, huna ujanja cha muhimu pambana.
...
Tuepuke tamaa, hata amri ya 10 inasema usitamani, epuka mke wa mtu, ishi kulingana na kipato chako acha tamaa za ovyo kama mtoa uzi anavosema la sivyo utaishia kukopa/kuiba/kudhulumu ili uendane na tamaa zako.
 
Ukinyea kambi hama hapo la sivyo utafumaniwa, yatakukuta miksa kurogwa
Shida huyu wa kitaa nishamwelekeza, nilihama mitaa flani kwasababu ya usumbufu wa hawa viumbe, walikuwa wanakuja Kama mvua! Ikabidi nitelekeze Kambi yangu!! Saivi sikubali nitawakataa hata wakija wanatambaa
 
Mkuu hiyo ni sheria niliyojiwekea tangu nikiwa kijana mdogo. Demu wa mtaa ninaoishi namchukulia kama dada yangu.
Mimi wananichukulia kama kaka Ila mimi natamani kuwala wengine hadi wananisalimia shikamoo nakataa
 
Mwanaume usikubali kabisa kuendeshwa na Mwanamke..

Pia hata kama ni mpole jitahidi aujue upande wako wa pili ukoje (Mara nyingi huwa anashuhudia Hasira zangu zilivyo kwa watu wengine) anajifunza na kuogopa pia kufanya mambo ya kipumbavu.
 
1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi.

2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda mrefu.
Labda kama ni Baba mzazi au mwanao,japo huwa sioni ulazima.

3.Epuka kuwa mwepesi wa kukopa vitu vidogovidogo,kama hakuna ulazima ukiamua kukopa kopa mzigo wa kutosha.

4.Epuka kupigana bila sababu za msingi,na ikitokea huna namna usitishie,piga kweli muwahi opponent wako,kumbuka waweza kufa au kuumia vibaya ukiingia kichwakichwa.

5.Epuka kusuluhisha kuamlia ugomvi na ikitokea unalazimika, basi usioneshe upo upande wowote,shusha hasira za wahusika tu.

6.Iga vitu vizuri,ila visikupelekeshe fanya kwa mpango na umakini,
Umenunua simu fulani kisha unamuona Daniel ana simu fulani nzuri,unaanza kupaparika uwe na simu kama ya Dani, mwanaume hayupo hivyo.

7.Vaa,pendeza kuwa Casual,usiwe kama mwanamitindo ikiwa siyo pigo zako,nyoa nywele zako,ukipenda chana vizuri usinyoe stahili na mitindo ya vijana.

8.Sikiliza zaidi kuliko kuongea,utachorwa na kuonekana mshamba kuliko ,
Ukilazimika kuongea,wape nafasi wenzio siyo muda woooote usikilizwe wewe tu.

9.Kama una kichwa kibovu usioe,Usioe nakwambia, na kama ukioa Mpende mkeo. Usiruhusu agundue kuwa Una wivu sana.kuwa normal akitaka
Kut.....wa atagongwa hata sebuleni kwako na wewe upo chumbani.
Akileta dharau washa vibao Ila usimuumize kisha kesho mpe 200k akafanye shopping.

10.Piga kazi yeyote Kwa uaminifu,
UHURU ni kuwa na KAZI,
Panga malengo,
Timiza malengo.
Usikimbizane na walimwengu,
Kama wewe unatafuta milioni moja Kwa mwezi kuna wahuni wanatengeneza milioni Mia Kwa wiki hivyo usijione mnyonge.
Pambana tu
Hapo kwenye kukopa kwakweli umenigusa, You Know! Mie sipend kukopa wala kudaiwa..😂
 
Mwanaume usikubali kabisa kuendeshwa na Mwanamke..

Pia hata kama ni mpole jitahidi aujue upande wako wa pili ukoje (Mara nyingi huwa anashuhudia Hasira zangu zilivyo kwa watu wengine) anajifunza na kuogopa pia kufanya mambo ya kipumbavu.
Mwanamke asikuamulie we ndie umuamulie
 
Back
Top Bottom