Kuwa mwanaume si Kazi rahisi, zingatia haya kulinda UANAUME wako

Vituo vya polisi,
Magereza,
Mahakama,
Kumbi za starehe zote,

Wateja wengi ni wanaume.
Mwanaume ndiye mmiliki wa hii Dunia.

Raha zote na karaha zote ni za mwanaume.

Ila 50 kwa 50 hawezi kuelewa.
Hata lile ghorofa pale kariakoo lilipobomoka, hakukuwa na yeyote wa 50/50 aliyeshika chepe. Wao ni vilio tu na kuhaha huku na huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…