Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

Hivi kwanini mtu upange shughuli yako binafsi kwa kutegemea pesa za wengine? Halafu hao wengine wasipokupa pesa unastressika... kwanini usifanye unachokiweza?

Mimi hizi mambo nilishazikataaga zamani sana yaani
harusi ni jambo la kifamilia mimi sitaki kabisa mambo yakuwekana mbele kama padri anaongoza ibada. Kuna rafiki yangu alifunga ndoa mwezi uliopita, aliweka milioni 5 hakuna mchango wa mtu. Tulitoa order hotel moja matata waandae chakula chenye thamani ya sh 20,000 kwa kila mtu, vinywaji tulipiga bajeti ya bia 10 kwa kila mtu yani 25,000 (kumbuka wengine hawanywi pombe gharama inashuka) jumla max 45,000 kwa kila mtu. Waalikwa 30 upande wa bibi na 30 baba.. 45,000*60=2,700,000 iliyobaki ilitumika kwenye mavazi na vitu vingine vidogo vidogo. Sehemu ya shughuli hotel waliandaa kwa gharama zao cause ni order kubwa.. watu walikula wakasaza, wakatambaa tulikesha mpaka majogoo..
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani nikama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Pole Sana mkuu,hayo yamewahi kunikuta tena wakati mwingine nilikuwa nazama mfukoni mwangu,usingizi sipati,nashindwa kumpa dozi inayotakiwa mke wangu kisa tu nimekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi,Lkn cha ajabu,siku ya Harusi hakuna aliyekumbuka kunishukuru(Japo huwa sipendi kudai Asante ya mtu),Wakagawa zawadi,akapewa msimamizi,huyo ndo alionekana amefanya kazi kubwa,nikajinyamazia,hata sasa jamaa hajawahi kunikumbuka hata akija kitaa anakuja kumsalimia msimamizi wake,kwake huyo ndo mtu wa maana.Tokea hapo hayo mambo huwa ninayakwepa Sana.
 
harusi ni jambo la kifamilia mimi sitaki kabisa mambo yakuwekana mbele kama padri anaongoza ibada. Kuna rafiki yangu alifunga ndoa mwezi uliopita, aliweka milioni 5 hakuna mchango wa mtu. Tulitoa order hotel moja matata waandae chakula chenye thamani ya sh 20,000 kwa kila mtu, vinywaji tulipiga bajeti ya bia 10 kwa kila mtu yani 25,000 (kumbuka wengine hawanywi pombe gharama inashuka) jumla max 45,000 kwa kila mtu. Waalikwa 30 upande wa bibi na 30 baba.. 45,000*60=2,700,000 iliyobaki ilitumika kwenye mavazi na vitu vingine vidogo vidogo. Sehemu ya shughuli hotel waliandaa kwa gharama zao cause ni order kubwa.. watu walikula wakasaza, wakatambaa tulikesha mpaka majogoo..
Mimi nilikataa kuchangisha, shughuli ya kifamilia ilifanyika vizuri japo kuna wanafamilia walimind sababu wao wameshachangia watu sana sasa walitamani na wao wachangiwe kupitia mimi... sendoff ilikua ya style hiyo uliyoelezea hapo juu ndani ya familia na watu wa karibu sana.
Sikusumbua mtu, niliwapa taarifa marafiki na aliyewiwa kushiriki na mimi alijitoa out tukafurahi pamoja
 
Kweli mbombo ngafu sasa wewe mwenyekiti unaumiza kichwa wewe ndio unaoa! relax huku ukishushia na pepsi baridiiii watu wanataka kufanya misherehe mikubwa huku mfukoni chenga hapo waende kanisani ile ibada ya asubui baada ya kila mtu atawanyike kivyake.
 
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?

Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano tu, nyingine hajatoa, anamtaka MC Garab wakati uwezo hana, yaani nikama ndugu wamemsusia, simu hawapokei, nimemshauri asifanye sherehe ni kama haelewi, sijui itakuwaje.
Ujinga wa harusi za siku hizi za mjini usipoonekana kwenye page ya mc garab bado ujafanya harusi WTF
 
Siku zote ukiona mwanamke anakupayukia jua hujafiti kuwa King..jichunguze..anakua ashakuona ww si lolote umepwaya mno
Nilishawahi kuwa mshika fedha ya shuguli moja hvi ndg hapo hapo nkapotea watu walisikiaa nko kusini nlijipatia nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kitambo sanaaa hiyoo

Ova
 
Back
Top Bottom