Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Anna:Best upo hom leo nkutembelee?

BK:Karibu mi nipo hom chukua boda atakuleta adi apa ni buku 2

Anna:Mi apa nna buku tu

BK:[kimoyomoyo]Qmme sa unakujaje na huna nauli?%##££@&&**<=> madem wengine bana
Angalau huyo, she's responsible hana shida...yani nikiwa na mdada wa hivyo sioni shida.
 
Nataka ukumbuke huyo wa job siku sintofahamu ikitokea safar mpaka mahakamani halafu utaleta story tumegawana Mali na mke wako na hutaleta kissa Cha kugawana Mali ni nini, kumbuka Mwanamke mtaftaji ni mwanaume mwenzako elewa hivyo
hata wanyumban kikiumana, utasikia tugawane mali..
 
Iwe chai au supu,
Unatongaze job seeker
Usitongaze mwanamke ambaye ukipanga nae date anakosa nauli au anataka umfuate alipo
Kabisa mkuu, juzi kuna pisi moja nliiona imepostiwa na rafiki yake, nikaomba namba, tukabonga na yule dada fresh kuwa jumamosi tukutane(hapo ilikuwa juma5).

Jmosi siku ya gemu ya wananchi vs TP Mazembe, sikuwa na time nae ,yeye ndio akanichek hello ,hello tunaweza onana nikasema ndiyo, kama vp njoo ntakurefund gharama zote ulizotumia, dada wawatu kaja kwa gharama zake mwenyewe hata bila kubisha , mind that hatujuan zaidi ya picha za dp kwa whatsapp.

Amekuja tumekesha kesha, night nikampa shuka la masai aka appreciate akasepa.

Pisi imenyooka sema kanizidi miaka 8
 
Kabisa mkuu, juzi kuna pisi moja nliiona imepostiwa na rafiki yake, nikaomba namba, tukabonga na yule dada fresh kuwa jumamosi tukutane(hapo ilikuwa juma5).

Jmosi siku ya gemu ya wananchi vs TP Mazembe, sikuwa na time nae ,yeye ndio akanichek hello ,hello tunaweza onana nikasema ndiyo, kama vp njoo ntakurefund gharama zote ulizotumia, dada wawatu kaja kwa gharama zake mwenyewe hata bila kubisha , mind that hatujuan zaidi ya picha za dp kwa whatsapp.

Amekuja tumekesha kesha, night nikampa shuka la masai aka appreciate akasepa.

Pisi imenyooka sema kanizidi miaka 8
daka pisi hyo ishi nayo ila husisahau kuleta mrejesho kwa yatakayo kutokea.
 
Kumbe hawa wanaotuomba hela wanatuenjoy tuu kwa i love u nyingi na wakati wanauza bupa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Chief usikae ukaamini i love u ya mwanamke bro as long as kuna kitu anafaid kutoka kwako
 
Biashara za watu ila zinanguvu maana wanaruhusiwa kufanya kampeni mpaka mashuleni na hawa ndio walio tuharibia jamii yetu ya sasa, watoto wengi wa kiume wa siku hizi hawa fikiri kama wanaume.
Mmmmh! Hapana, hawa tunawakosea tangu nyumbani mwetu kwenye malezi.
Hamna mwanaume anayetaka haki sawa ,hakuna NGO yoyote inayo push maswala ya haki za wanaume na hatuna time nayo.
Mmmmh! Mbona Linapokuja suala la pesa, mnakuwa kidedea kutetea haki sawa?
Huwezi kusikia eti kuna siku ya wanaume, kwanza sizani kama ipo.
Ipo.
Ila siku yenu nyie maandalizi yanaanza mwezi mzima kabla ya siku yenyewe ,kwenye maredio,masocial networks,wanahojiwa viongozi wa NGO mbalimbali, strong independent woman, vikongozi wa kike nk,yaani msululu wa matukio kibao, siku yenyewe ndio ile list ya strong woman inapewa tuzo.
Huoni kama ni raha jamani!! Pia ni kasiku ya kamtoko kwenda kuupa mwili pole🤣
 
kwenye mapenzi hakuna huruma. especially ke. akishafanya maamuzi yake ni kama israeli mtoa roho anakua ni mkatil sanaaa.
Hapana, sisi tuna huruma na ni wakarimu sana. Ni nyie tu mnatukosea.
 
Kuna mmoja kaniomba 30000 na hata sijamtongoza nimeshtuka hadi nikacheka[emoji23]
Bro nishaimsaidia manzi ambae ni demu wa mwanangu sana 5k ya kulipia luku, akaenda kumponda jamaa ake kuwa huwez kunisaidia hela hadi rafk ako xxxx anisaidie, xxxx ni.mwanaume na nusu. Jamaa badae akaja niuliza juu ya hii ishu.

Baadae the same manzi ananiomba laki 5 akamilishe kulipa ada za mdogo wake nikamkataa mazima ndio ikawa mwisho wa kuwasiliana nae.
 
Aaah shindikana ushanikumbusha machungu!! Hupendi kuniona nikiwa na raha kabisaa🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Shindikanaa niombeee huu mwaka nikusapoti hata zana kidogo😆
 
Mimi nachukiaga wanawake omba omba hata nikiwa na pesa sitoi 😊

Mimi nachukiaga wanawake omba omba
 
Back
Top Bottom