Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
I would rather date a broke bitch.Hawa chicks wenye pesa wasumbufu sana.kwanza mapenzi yenyewe anakupimia,ukiomba apointment atakuambia ngoja aone ratiba zake.akati the broke one fasta asharukia boda.Wasalam wakuu,
Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.
Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.
Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.