Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Huyo hajakupenda trust me mim ni mwanamke naelewa Ivo vitu huyo Hana mapenz na ww mwanamke anayekupenda sio mtu wa kufanyia Ivo mfano mim nikiwa nahitaj kua na mahusiano na mtu ni inatoka moyon kwamba moyo umedhamiria kua na huyo mtu swala la hela litakuja endapo Kuna ulazima wa kutaka au kupewa hizo hela sio Kila wakat Sasa hapo nitakua najiuza au ni kitu gan
Uko sahihi dada... mwanamke akikupenda haomboi hela
 
Wewe ulipo mtongoza ulikua unataka nini kwake mkuu?
Kwasababu kama ulikua unamalengo naye ungemwambia nataka kukuoa halafu ungeona kama angeuliza tena hilo swali

Tatizo wanaume tusumbuliwa na mfumo dume

Mimi kwenye maisha yangu pengine nimetongoza mademu zaidi ya 500 lakini 99% nilikua nataka kumaliza nyege zangu

Mfumo dume umefanya wanawake kuwa chombo cha starehe..... unagonga gonga baada ya muda unaruka na mwingine
Sasa kuwavua chupi ni haki yako lakini wao nao wanachoona wanaweza kupata kwako ni hela pia halafu mnaanza kulia lia

Huyo mkeo tu nyumbani kama hana kazi unamnunulia na kuhudumia kila kitu ila ukiombwa na demu unayeta kutolea nyege unalialia

Starehe gharama mkuu
Ukitaka demu wa kustarehe utagharamika tu haswa kwenye maisha yetu ya kimasikini ambayo wanawake tumewazilisha na kuwatelekeza na hawana kaZi za maana kujikimu
Ukienda na nyege zako toa hela..... PERIOD
Mtoto wa kiume unaliaje kuombwa hela? Kapige punyeto huko
Mkuu ni vizur kulipia huduma kuligana ubora ni sawa ukodi Bajaji kwa siku dereva akawambie ulipie laki mbili sasa wewe utakubali si bora ukakodi Alphad kwa siku elf hamsini
 
Shindikanaa kiukweli nataka nifanye meditation kwa umakini zaidi ili niwe kwenye viwango vya juu ,bia nimeacha toka January 1 kwa usaidizi wa Kiranga nitakuja hapa January 2026 kutoa ushuhuda ikiwezekana , ila pombe na wanywa pombe nitawatetea daima.
Basi kila la kheri shindikana, umefanya uamuzi wa maana kabisa. Bado ule mmoja🤪
 
Mimi ni mtoaji Sanaa na Nina huo mkono ilaa..na allergies na wanawake omba omba/ huwa na chuki nao sababu kipindi najitafuta niliachwa na mwanamke nilie tamani kumuona siku zoteee za Maisha yangu akaenda kwa wenye pesa..sikuwai nunua shati,nguo chochote nilimfikilia yeye kwanza na hakuyaona yotee

Una jua Nini mwanamke mnaonana Mara nywele zimefumuka,gesi imeisha, Kodi imeisha, luku imeishaa, hapo hapo mtumie pesa ya kula 😂😅 Mimi ni jeuri yaan pesa ninayo na unajua ninazo sikupi pia sijawai na sitowai KUHUDUMIA mwanamke omba omba..na pesa ninayo sikupi
Sasa huyo mmoja ndio asababishe uwe kachoyo hivyo!! Uchoyo hata haukupendezi.

Halafu ukute hakukuacha sababu ya kutokuwa na pesa, ila wewe umemhukumu kwakuwa haukuwa na pesa!!
 
Uko sahihi dada... mwanamke akikupenda haomboi hela
Wanaomba sema hawaombi direct wanazunguka umbali mkubwa yani mpaka uwe na akili ya nyingi ndiyo utagundua kwamba mpenzi wangu ana shida.
 
Wanaomba sema hawaombi direct wanazunguka umbali mkubwa yani mpaka uwe na akili ya nyingi ndiyo utagundua kwamba mpenzi wangu ana shida.
Ladies are smart in relationship.
 
leta ushuhuda mkuu. Baada ya hapo nini kilitokea? Ulikusanya vilago vyako au uliweka kambi?
Baadhi ya wanawake wajinga mtoto wa dada yake alikua ana umwa sasa waka mpeleka hospita sasa pesa za matibabu nashangaa ananiambia Mimi nilipe eti wanadaiwa hospitali naomba pesa nikalipe, Sasa Mimi nikashangaa inakuaje mtoto ana umwa kwanini pesa za Matibabu asiambiwe Baba mzazi wa mtoto yeye wanamuacha naambiwa Mimi.
 
I would rather date a broke bitch.Hawa chicks wenye pesa wasumbufu sana.kwanza mapenzi yenyewe anakupimia,ukiomba apointment atakuambia ngoja aone ratiba zake.akati the broke one fasta asharukia boda.
Haahaa wew unachanganya mambo. We inaelekea unachotaka ni ngono (🍆👌) sio mapenzi (💓), ivo ni vitu viwili tofauti.
 
Mkuu acha hawa viumbe wa ajabu, kuna mmoja aliangusha 20k, akaja inbox kanitext viemoji vya huzuni nikamuuliza nn shida akajibu naomba 20k nikamuuliza ya nn, akasema nimepoteza hela yangu, mi nikamuuliza kwani mimi ni mtu wako hadi uniombe helaa akasema jaman kukuomba hela hadi niwe mtu wako nikasema ndio mimi pia na mtu wangu namuhudumia nawewe akuhudumie anaekukula
The Garang Braza Kede halafu kingine nlichogundua kwa hawa wadada wanao omba omba hela kwa wanaume, wengi wao wana tabia hii, sometimes ni heri wakunyime papuchi, utakuta huyo mdada hata akiwa na million 2 ambayo hana kazi nayo, hawezi hata kuwaza kukununulia juisi ya shilling elf 1 akuletee, hata ukimuomba akununulie kitu flani kidogo atakunyima. Au akikupa anakupa kwa target kwamba baada ya week 2 atakupiga mizinga hela yake irudi, au atakupa akihesabu kuwa hiyo ni sehemu ya hela yako ambayo umeshawahi kumpa, yani zawadi yake inakua haitoki moyoni

Wanaume wengi wanaotaka kuoa employed women wasaidiane maisha, wanaishia kua disappointed hawajui hela za wake zao zinaenda wapi,

Sometimes mdada ambae ni broke & jobless anaweza kuwa na support kubwa kwa mwanaume kuliko mdada alieajiriwa mwenye mshahara mnono.
 
I would rather date a broke bitch.Hawa chicks wenye pesa wasumbufu sana.kwanza mapenzi yenyewe anakupimia,ukiomba apointment atakuambia ngoja aone ratiba zake.akati the broke one fasta asharukia boda.
Yeah wale broke hawakatai coz ni njia yao kuingiza pesa kidogo.

Sema binafsi naona pay-after-service haiumizi mtu, mambo ya "babe nikuambie kitu..." kwa karne hii ni ushamba sana!!
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Shida iko kwako wewe mtafutaji.
Why utafute wenye njaa?

We unajiweka kwa demu hana kazi ila ana mkopo wa OYA, BLANC, ASA, VIKOBA.
Unategemea nini?
 
Wasalam wakuu,

Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda.

Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi kwenda unahisi kabisa mapenzi huyaoni ila unaona kabisa anakuchukulia ni kama fursa ya kujinufaisha kiuchumi hadi unahisi huyu atakua anataka tu kuokota kwa mgongo wa mapenzi.

Wanawake achen utapeli kama hela taften na nyie zakwenu kwenye mahusiano kila mtu kuna umuhimu wa kuprovide a provide.
Njoo tuwinde mishangazi ya kigeni huku unguja kwq kuvaa mashuka ya kimasai
 
Tafuta mshangazi mmoja wa uhakika, wala hutaombwa pesa ila wewe utapewa pesa.
 
Back
Top Bottom