Kuna wazazi huwa wanaamua kwa maksudi wawe na mtoto moja tu kwa sababu ya kuiga maisha ya utandawazi, kuogopa mimba itaingilia kazi zao maofisini, kukwepa gharama za kulea watoto, kutaka kumpa umakini / attention mtoto moja tu, n.k.
mtoto anakuwa hana kaka wala dada. yupo peke yake, is it fair ?? Sio sawa kabisa
Mtoto kaja kuoa lakini watoto wake (wajukuu zenu) hawana baba mdogo, baba mkubwa wala shangazi, ikiwa ni upande wa binti hawana mjomba wala mama mdogo / mkubwa. Ndugu hawa kuna sehemu wana umuhimu wao sio wa kubeza hata kidogo.
mtoto anakuwa hana kaka wala dada. yupo peke yake, is it fair ?? Sio sawa kabisa
Mtoto kaja kuoa lakini watoto wake (wajukuu zenu) hawana baba mdogo, baba mkubwa wala shangazi, ikiwa ni upande wa binti hawana mjomba wala mama mdogo / mkubwa. Ndugu hawa kuna sehemu wana umuhimu wao sio wa kubeza hata kidogo.