Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,047
- 2,246
Ushawahi kuchunguza pia ndoa za wanaume ambao hawakupata malezi kamili ya wazazi wote,ama kwa wazazi kufariki,kuachana ama kulelewa na wazazi wa kambo?Hii wanajf sijui imekaaje
Kwa watakao kuwa wamewahi kuwa na mahusiano na aina hizi mbili za wanawake huenda wameshakutana na hii kasumba
👉Mwanamke ambae wazazi walifariki akiwa chini ya miaka 24 kuna Ile namna anakosa muongozo Ata Ile Sauti ya baba au mama yake na ule upendo.
Ata kule ndoani kuna namna wanakuwa ni watu ambao wanakuwa wakavu na hawaogopi ata kuua, kuvunja mahusiano kwao sio tabu
👉Mwanamke ambae amekosa malezi ya baba huenda mama yupo.huyu nae kwa namna moja ama nyingine ukiwa nae ni kipengele pia
Hii imekaaje kitaalamu?