Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

cheupe lazma kipewe sifa halaf navyo vipenda naweza nikamhonga tanzania
 
Mwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali yako
Mtoto white humfanya mwanaume aonekane mjanja na mwenye sound
Wengi wa type hiyo nanii zao zimepooooooa,hazivutii kurudia,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Signature yako mkuu inanikumbusha kuna mkaka aliachwa mdogo sana na wazazi wake akiwa mdogo (Walifariki = Yatima) alikosa mapenzi ya pande zote na alinyanyasika kwa ndugu na kielimu pia alikosa in short alikosa haki za msingi kama mtoto.....mda mwingi anapenda sana kupost hii kitu (ujumbe) mbaya zaidi katika kukua akapata dem akazaa nae akafariki akamuachia katoto kachanga.
Inasikitisha sana.

Maisha haya, muyasikie tu.

Sikatai, kila Mtu anapata Mitihani yake.

Ila kuna Watu Mitihani yao ni mizito mno.

Kwa kweli Tumshukuru sana Muumba kwa kila Neema anayotujalia
 
Mwanamke ambae hataki weupe huyo hana hela ya vipododozi ninavyojua mm wanawake wote wanpenda weupe
 
74c6b98430e125c0e81c66730b6e3c62.jpg
[emoji39] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Napenda dem mweupeeeee Kama minerva/widow wa into the badlands
c2cd81bc231dad3ae73dd2bffbe477ec.jpg


bwayhermitTz
 
tatizo wengine wanadeka wanapitiliza mpaka mwanaume unahisi upo na Mziwanda wenu kumbe ni she bana
 
hahahahah ww sasa endlea kulia lia hapa!mie sio white alafu ni chocklate color! wala sijawah shawishika kujichubua na kuwa km majini aic! kwanza wanangu watacheka sana sana sana lol! tujikubali tu na rangi zetu muyego! hiyo pic ulotuma na mm nakaribiana na rang hyo na nina aman tele! tutafute tu chapaa!
Aswaaaaa tukisaka chapaa watatuona weupe [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha na mm zaman sikuwa napenda hata kuwaona wanaume weupe nilikua sn hisia nao kbs kbs yaan! cha kushangaza sasa nimeolewa na mume mweupeeeee ! ukimuangalia haraka utahis mwarabu ! ila niliwah mwambia sikuwa nawapenda wanaume weupe (alinuna balaa) ...wapo vzr sana tu! ila black men bado wanashika kibendera aic....ndukiiiiiiii
Dahhhh maskini alijisikia vibaya basi hapo mmezaa Watoto wazuri balaa[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom