Kuwa na watoto wengi, kuna faida ama ni hasara?

Kuwa na watoto wengi, kuna faida ama ni hasara?

Watoto wengi ni faida Kama una miradi na mashamba ya kutosha hivyo hata kuwapa mitaji ni rahisi kwani utakua unawarithisha vitega uchumi wako.


Ila Kama ndio maisha ya town ya kushinda wanaangalia tv na kuhadisiana magali na muvi aisee ni hasara cos utaishia kupata kesi za mimba tu na udokozi kwa baadhi ya wanao
 
Kuna mzee mmoja bopa hatari toka kaskazini alikuwa na ukwasi Sana means bl 3+ uko na Masset ya kutosha Ila alikuwa na wake wa4 na watoto 21 Ila baada ya kufariki ni balaaa tupu Hadi mdogo mtu aliungana na wife wapili na watoto kugeuza will ya Mzee mahakamani ilifanikiwa Ila mtafaruku uliopo sio POA na wemeshaloose baadhi ya asset
 
Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache.

Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto anakuwa yuko tayari kujitegemea kwa mahitaji yake mwenyewe pale anapofikia miaka 30 na kuendelea; kwa hiyo atakuwa chini ya uangalizi wa mzazi kwa miaka yote 30.

Tuje kimahesabu

Makadirio
  • Mtoto kwa siku anatumia 10,000
  • Mwaka una siku 365
  • Atakaa kwa wazazi, miaka 30
  • Idadi ya watoto 5
Gharama zao kwa miaka 30 ni = 10,000 x 365 x 30 x 5
= 547,500,000/=
Inamaana wazazi watatumia kiasi hiki cha fedha (547,500,000/=) kuwakuza hao watoto mpaka wajitegemee, huku wazazi wakimiliki nyumba ya milioni 20

Bado hujaweka mavazi, ada za shule n.k

Kwa mantiki hiyo; Je, kuwa na watoto wengi ni 'Asset' ama ni 'liability'?
We una miaka ngapi kwanza

hizo Hesabu za Kilimo cha Mapapai na Matikiti maji, Ni hesabu hewa ambazo hazina Mshiko kabisa Labda Uwe unatoka Familia ya Kitajiri ila kama ni hizi zetu za Uswazi Basi Hizi hesabu sio mahala Pake

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
We una miaka ngapi kwanza

hizo Hesabu za Kilimo cha Mapapai na Matikiti maji, Ni hesabu hewa ambazo hazina Mshiko kabisa Labda Uwe unatoka Familia ya Kitajiri ila kama ni hizi zetu za Uswazi Basi Hizi hesabu sio mahala Pake

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Kokotoa mkuu, tupate hesabu halisi
 
Kuna mzee mmoja bopa hatari toka kaskazini alikuwa na ukwasi Sana means bl 3+ uko na Masset ya kutosha Ila alikuwa na wake wa4 na watoto 21 Ila baada ya kufariki ni balaaa tupu Hadi mdogo mtu aliungana na wife wapili na watoto kugeuza will ya Mzee mahakamani ilifanikiwa Ila mtafaruku uliopo sio POA na wemeshaloose baadhi ya asset
Kukiwa na mali, changamoto lazima ziwepo
 
 
Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache.

Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto anakuwa yuko tayari kujitegemea kwa mahitaji yake mwenyewe pale anapofikia miaka 30 na kuendelea; kwa hiyo atakuwa chini ya uangalizi wa mzazi kwa miaka yote 30.

Tuje kimahesabu

Makadirio
  • Mtoto kwa siku anatumia 10,000
  • Mwaka una siku 365
  • Atakaa kwa wazazi, miaka 30
  • Idadi ya watoto 5
Gharama zao kwa miaka 30 ni = 10,000 x 365 x 30 x 5
= 547,500,000/=
Inamaana wazazi watatumia kiasi hiki cha fedha (547,500,000/=) kuwakuza hao watoto mpaka wajitegemee, huku wazazi wakimiliki nyumba ya milioni 20

Bado hujaweka mavazi, ada za shule n.k

Kwa mantiki hiyo; Je, kuwa na watoto wengi ni 'Asset' ama ni 'liability'?

Huu Ni mjadala wa mke Na Mme
 
Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache.

Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto anakuwa yuko tayari kujitegemea kwa mahitaji yake mwenyewe pale anapofikia miaka 30 na kuendelea; kwa hiyo atakuwa chini ya uangalizi wa mzazi kwa miaka yote 30.

Tuje kimahesabu

Makadirio
  • Mtoto kwa siku anatumia 10,000
  • Mwaka una siku 365
  • Atakaa kwa wazazi, miaka 30
  • Idadi ya watoto 5
Gharama zao kwa miaka 30 ni = 10,000 x 365 x 30 x 5
= 547,500,000/=
Inamaana wazazi watatumia kiasi hiki cha fedha (547,500,000/=) kuwakuza hao watoto mpaka wajitegemee, huku wazazi wakimiliki nyumba ya milioni 20

Bado hujaweka mavazi, ada za shule n.k

Kwa mantiki hiyo; Je, kuwa na watoto wengi ni 'Asset' ama ni 'liability'?
Huyo mtoto anaetumia elfu kumi kwa siku labda yule wa Hamisa mobeto! Mtoto anatumiaje hela ya kulisha familia nzima pekeyake?
 
Back
Top Bottom