Kuwa na watoto wengi, kuna faida ama ni hasara?

Kuwa na watoto wengi, kuna faida ama ni hasara?

Huyo mtoto anaetumia elfu kumi kwa siku labda yule wa Hamisa mobeto! Mtoto anatumiaje hela ya kulisha familia nzima pekeyake?
Huo ni uhalisia na hiyo pesa 10k ni ndogo katika mfumo wa standard life! Chakula balanced diet per day hiyo pesa ni ndogo sana kabla ya kuongeza mahitaji mengine.
 
Huo ni uhalisia na hiyo pesa 10k ni ndogo katika mfumo wa standard life! Chakula balanced diet per day hiyo pesa ni ndogo sana kabla ya kuongeza mahitaji mengine.
Standard life wanaishi wangapi bana!
Life letu wengi Ugali marage na mboga za majani wewe hio standard life unayoongelea zinaishi kaya ngapi katika jiji hili! Tuna almost 10m people 8m out of ten wanaishi maisha ya kawaida na kuunga unga!
 
Standard life wanaishi wangapi bana!
Life letu wengi Ugali marage na mboga za majani wewe hio standard life unayoongelea ni ipi?
Tatizo sio kulisha unaweza kuwalisha ugali, maharage na majani katika milo miwili je wanapata chakula na lishe stahiki? Inahitajika milo mitano kwa siku je wanapata?

Kula ugali na maharage mara mbili sio kwamba umekamilisha kula bali umejaza tumbo! Wanapata maziwa, mboga za majani, matunda, extensive protein, snacks? Unawapatia pocket money? Kila kitu wanachohitaji a day wanapata?

Gharama za hayo juu ni 10k? Mimi ni Vegan lakini bado nikiwa Tanzania gharama za chakula a day for single person ni 35k kwa kujibana na ninapika mwenyewe!
 
Tatizo sio kulisha unaweza kuwalisha ugali, maharage na majani katika milo miwili je wanapata chakula na lishe stahiki? Inahitajika milo mitano kwa siku je wanapata?

Kula ugali na maharage mara mbili sio kwamba umekamilisha kula bali umejaza tumbo! Wanapata maziwa, mboga za majani, matunda, extensive protein, snacks? Unawapatia pocket money?
As long as hawatakufa watakuwa tu
 
Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache.

Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto anakuwa yuko tayari kujitegemea kwa mahitaji yake mwenyewe pale anapofikia miaka 30 na kuendelea; kwa hiyo atakuwa chini ya uangalizi wa mzazi kwa miaka yote 30.

Tuje kimahesabu

Makadirio
  • Mtoto kwa siku anatumia 10,000
  • Mwaka una siku 365
  • Atakaa kwa wazazi, miaka 30
  • Idadi ya watoto 5
Gharama zao kwa miaka 30 ni = 10,000 x 365 x 30 x 5
= 547,500,000/=
Inamaana wazazi watatumia kiasi hiki cha fedha (547,500,000/=) kuwakuza hao watoto mpaka wajitegemee, huku wazazi wakimiliki nyumba ya milioni 20

Bado hujaweka mavazi, ada za shule n.k

Kwa mantiki hiyo; Je, kuwa na watoto wengi ni 'Asset' ama ni 'liability'?
Acha uwoga ww!
maisha hayapigiwi hesabu za ivyo....
 
Dah, naona wazee wa haki za binadamu mmeniamulia sasa! Mi ni mjumbe tu jamani😅
Hili ni suala pana kwa mustakabali wa taifa na maendeleo endelevu ya kitaifa. Kuzaa hovyo ni chanzo cha umaskini, elimu duni na upumbafu hasa kwa masikini.

Ningelikuwa na uwezo ningepitisha sheria kwa kutumia kima cha kipato kwa mwaka mtu asiyezalisha above 5M ni marufuku kuzaa maana anazalisha masikini, umaskini na non-productive creatures.
 
Kila mwaka madarasa mapya yanajengwa, na hayo yaliyopo bado watoto wanarundikana Kama mbuzi, huku ajira ngumu na kupelekea graduates kuwa wengi mtaani.

Hizi kampeni za kusema ni maamuzi ya mtu mwenyewe kuamua kuwa na namba fulani ya watoto hazipo sawa, ndo zinapelekea mabinti wengi wadogo kuwa na watoto wengi majumbani kwa wazazi wao.

Watanzania tunazaliana mno, na hii ni hatari kwa taifa letu hivyo Basi lazima tujitathimini.
 
Tupe faida mkuu
Wengi maana yake ni zaidi ya mmoja kwa hiyo ukiwa na watoto kuanzia wawili na kuendelea waliopishana vizuri na ukaweza kuwahudumia watakupa kampani wakati wa uzee wenu nyinyi wazazi.

20211208_172518.jpg
 
We jamaa hao watoto 5 unawapta kwa mara Moja, mie navojua yule aliyetangulia kukua akipata ka ujira anawaboost wadogo zake,

Halafu hiyo miaka 30 mingi sana, weka hata 24
 
Back
Top Bottom