Kuwa na watoto wengi, kuna faida ama ni hasara?

we jamaa tz tunazaliana Sana? Waaache watu wazae nchi kubwa hii Kinacho matter ni population density tz tuna 40/ km square ambayo ni bado ndogo sana
 
Kuna wengine wana watoto wengi na hawawatunzi. Kila mtoto anatumiwa na mama mtu
 
Afrika tunaishi kwa imani kuwa Mungu akileta mtoto, huleta na sahani yake..

Unaweza kuzaa mmoja na akakupasua kichwa kumtunza, unaweza ukawazaa kumi na ukashangaa unawamudu vyema tu.
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mnazareti.
 
Chakushangaza kwenye haya maisha ni kwamba Elfu ukiwa peke yako kwa siku ukiwa peke yako unakula unamaliza yote na inakutosha vizuri,pia ukiacha Elfu kumi hiyo hiyo kwa familia ya watu watano inawatosha vizuri pia kwahiyo kupanga ni kuchagua
 
Mkuu kwenu mmezaliwa watoto wangap?
 
Kuwa na watoto watatu , hafu unafika miaka 55, unakuta wote wamepatwa na majanga, kupanga ni kuchagua muhimu kuchagua jibu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…