Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
we jamaa tz tunazaliana Sana? Waaache watu wazae nchi kubwa hii Kinacho matter ni population density tz tuna 40/ km square ambayo ni bado ndogo sanaKila mwaka madarasa mapya yanajengwa, na hayo yaliyopo bado watoto wanarundikana Kama mbuzi, huku ajira ngumu na kupelekea graduates kuwa wengi mtaani.
Hizi kampeni za kusema ni maamuzi ya mtu mwenyewe kuamua kuwa na namba fulani ya watoto hazipo sawa, ndo zinapelekea mabinti wengi wadogo kuwa na watoto wengi majumbani kwa wazazi wao.
Watanzania tunazaliana mno, na hii ni hatari kwa taifa letu hivyo Basi lazima tujitathimini.
Hupunguzi gharama unaongeza kipatoKwa siku atumie pungufu
Nimekuambia nna shida ya kubebeshwa mimbaNjoo nikubebeshe mimba za kutosha.
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mnazareti.Afrika tunaishi kwa imani kuwa Mungu akileta mtoto, huleta na sahani yake..
Unaweza kuzaa mmoja na akakupasua kichwa kumtunza, unaweza ukawazaa kumi na ukashangaa unawamudu vyema tu.
Mkuu kwenu mmezaliwa watoto wangap?Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache.
Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto anakuwa yuko tayari kujitegemea kwa mahitaji yake mwenyewe pale anapofikia miaka 30 na kuendelea; kwa hiyo atakuwa chini ya uangalizi wa mzazi kwa miaka yote 30.
Tuje kimahesabu
Makadirio
Gharama zao kwa miaka 30 ni = 10,000 x 365 x 30 x 5
- Mtoto kwa siku anatumia 10,000
- Mwaka una siku 365
- Atakaa kwa wazazi, miaka 30
- Idadi ya watoto 5
= 547,500,000/=
Inamaana wazazi watatumia kiasi hiki cha fedha (547,500,000/=) kuwakuza hao watoto mpaka wajitegemee, huku wazazi wakimiliki nyumba ya milioni 20
Bado hujaweka mavazi, ada za shule n.k
Kwa mantiki hiyo; Je, kuwa na watoto wengi ni 'Asset' ama ni 'liability'?
Ahaaha, mkuu nimecheka sanaDah, naona wazee wa haki za binadamu mmeniamulia sasa! Mi ni mjumbe tu jamani😅
Wanataka kunia hawa😂Ahaaha, mkuu nimecheka sana