Kuwa single mateso

Kuwa single mateso

Kwa mfano umekaa zako singo upo kwa wazazi 35 yrs na ukitoka zko hapo unaenda kukas kwa dada stress zinatokea wp
 

Attachments

  • IMG_6316.png
    IMG_6316.png
    124.1 KB · Views: 5
Mimi najiwekea plans na goals kila siku ..na ninatakiwa kuzitimiza Kwa vyovyote vile...so muda mwingi naupoteza huko...

Na hii imenisaidia sana...imenisaidia chuo na kuweza kuwa best student, kuweza kujiajili kwa mitandao, kuwa na startups kibao...ambayo imenifanya kimaisha kuwa poà na kudevelop haraka sana...

Lakin sasa kibembe huwa ni asubuhi...na ninaamka saa kumi...mtalimbo unakuwa unasimama Kwa hasira...Hadi nianze kupiga push ups na mazoezi ndo unatulia...sema nikishachoka naendelea na ratiba ngumu za siku hiyo mpaka jioni....
Nishasahau Hadi kuongea na wanawake kabisa, kuchati nao na ukizingatia nimesoma uboizini..naweza maliza week sijaongea na mwanamke zaidi ya mama Tu.....


Nb..Nilikuwa mpiga nyeto walau Kwa wiki mara moja nikizidiwa hasa nikitoka insta kuangalia picha za madada...lakin sasa nimekomaa sana inapita miezi hata tatu sijapiga ....sema wet dreams ndo kawaida mno....
Instagram na telegram noma jamani....
 
Hivi kwa Karne hii ya 21 mtu unawezaje kuwa single especially mwanaume? Wanawake wapo wengi Sana ckuiz.

Mtoa mada kinachomsumbua Ni udomo zege tu maana anaweza kuwa na pesa ila akashindwa kujiongeza katika kutongoza wanawake.
Tatizo sio udomozege
 
Nyie wanawake mnajua kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Mnakauli yenu pendwa. Eti "You're too good for me,you nees someone better" Hii ndio kauli yenu pendwa. Ukisikia hivyo tu ujue hakuelewi wala nini.
Ni kweli hakuelewi lakini sio kwasababu ya sura yako.
 
Bora wewe mie nimeshindwa kabisa.....kama instagram ndio hatari.. bundle linaenda fasta full kunyetuka basi hatari tupu
Fungua account mpya na kuwa selective kwenye kufollow...

Tafuta furaha nyingine mfano kuangalia movies na series....


Mimi ukitoka series yoyote ile YTS lazima niifatilie..lakin nazo wakianza kupendana naifuta
 
Fungua account mpya na kuwa selective kwenye kufollow...

Tafuta furaha nyingine mfano kuangalia movies na series....


Mimi ukitoka series yoyote ile YTS lazima niifatilie..lakin nazo wakianza kupendana naifuta
Hutaki kabisa mambo ya mapenzi mwanawane. Sasa lakini u ajua mbususu muhimu maana ndio raha ya dunia mzeya
 
Kuwa Single ni raha sana! Habari za " baby how are you? How was your night? e.t.c " I don't care for them.
Ukweli usemwe hizi bby how are u zinakera sometimes. Mie naona raha ya relationship ni kukutana mnaongea face to face, kumakuwa na physical touching na intimacy. Lakini kila leo oh bby umeamkaje, guddnyt gorgeous ,inatakiwa pale mtu umesafiri.
 
Back
Top Bottom