macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni kweli. Kama siyo type yako ni bure na itakuwa ni kama kujitesa. Ukutane na hawa mwanamke wa uswazi, kila weekend ni sherehe, kwenda kwao ndiyo usiseme, mashoga ndiyo washauri wake wakuu na wewe kidume ni msomi, mwenye mambo ya kisomi halafu utegemee ndoa idumu?Hakuna kitu bora katika maisha kama kumpata wa kuendana nae, na ukimpata kila kitu kinakaa ktk nafasi yake.
Huo upendo, kujali vyote vinakuja bila kutumia nguvu.
Mimi nitaendelea kumshukuru Mungu, nimeyaona na kuyaishi mapenzi ya kweli kwa neema zake.
Mimi nimeona makosa mawili katika haya maelezo yako kuhusu kuchelewa kufunga ndoa na huyo mpenzi wako wa muda mrefu sasa kama ulivyoeleza hapo kwa kirefu.Ngoja niendelee kumvumilia huyu wangu japo tumetoka mbali toka yupo form 3 mimi nipo form 5 mbaka nimemaliza chuo yeye now yupo second year siku zilizopita tulikuwa tunaongelea swala la ndoa japo nilitaka akimaliza tu nimuoe ila ameniomba sana mbaka leo anazidi kuniomba et aingie kwanza masters akimaliza ndo tuonae nikamkatalia nikamwambia kwani kuna ubaya gani ukisoma huku nimke wa mtu akalia sana kuwa nisifanye hivyo now anasema bas aingie masters mwaka wa kwanza ukiisha tu tunaoana huku anaendelea kusoma kiukweli mbaka leo sijajua ni nini anakitengeneza au ni nini anakitafuta japo ndio najua kuwa ni ndoto zake na siwez kumzuia kusoma ila ngoja tuone itakuaje mungu ndo anajua
Kwa nini mlianza mapenzi katika umri mdogo?Kuna ukweli hapa, me mke wangu tulianza kudeti 2003 wakati huo nipo form 2, tukaja kuoana 2013. Now tuna miaka 10 ya ndoa lkn miaka 20 ya mahusiano. Anasemaga ananijua kama kanizaa yeye [emoji3]
Aione AntonniaRaha ya JF ni pale una miaka 25 ya ndoa halafu unakuja kugundua kumbe kwenye ile mada fulani ya ndoa yule jamaa aliyekuwa anakuambia hujui lolote kuhusu ndoa bora ukae kimya uache wenye ndoa wakufundishe huu ndo mwaka wake wa pili kwenye ndoa na hana mtoto bado.
Kuna msela anapiga kampanga akimaliza mastaz amuoe😀😀😀Ngoja niendelee kumvumilia huyu wangu japo tumetoka mbali toka yupo form 3 mimi nipo form 5 mbaka nimemaliza chuo yeye now yupo second year siku zilizopita tulikuwa tunaongelea swala la ndoa japo nilitaka akimaliza tu nimuoe ila ameniomba sana mbaka leo anazidi kuniomba et aingie kwanza masters akimaliza ndo tuonae nikamkatalia nikamwambia kwani kuna ubaya gani ukisoma huku nimke wa mtu akalia sana kuwa nisifanye hivyo now anasema bas aingie masters mwaka wa kwanza ukiisha tu tunaoana huku anaendelea kusoma kiukweli mbaka leo sijajua ni nini anakitengeneza au ni nini anakitafuta japo ndio najua kuwa ni ndoto zake na siwez kumzuia kusoma ila ngoja tuone itakuaje mungu ndo anajua
Punctuation.Ngoja niendelee kumvumilia huyu wangu japo tumetoka mbali toka yupo form 3 mimi nipo form 5 mbaka nimemaliza chuo yeye now yupo second year siku zilizopita tulikuwa tunaongelea swala la ndoa japo nilitaka akimaliza tu nimuoe ila ameniomba sana mbaka leo anazidi kuniomba et aingie kwanza masters akimaliza ndo tuonae nikamkatalia nikamwambia kwani kuna ubaya gani ukisoma huku nimke wa mtu akalia sana kuwa nisifanye hivyo now anasema bas aingie masters mwaka wa kwanza ukiisha tu tunaoana huku anaendelea kusoma kiukweli mbaka leo sijajua ni nini anakitengeneza au ni nini anakitafuta japo ndio najua kuwa ni ndoto zake na siwez kumzuia kusoma ila ngoja tuone itakuaje mungu ndo anajua
Nyie ndio pure talented in loveKuna ukweli hapa, me mke wangu tulianza kudeti 2003 wakati huo nipo form 2, tukaja kuoana 2013. Now tuna miaka 10 ya ndoa lkn miaka 20 ya mahusiano. Anasemaga ananijua kama kanizaa yeye [emoji3]
Asipokusikiliza jua wewe n plan BNgoja niendelee kumvumilia huyu wangu japo tumetoka mbali toka yupo form 3 mimi nipo form 5 mbaka nimemaliza chuo yeye now yupo second year siku zilizopita tulikuwa tunaongelea swala la ndoa japo nilitaka akimaliza tu nimuoe ila ameniomba sana mbaka leo anazidi kuniomba et aingie kwanza masters akimaliza ndo tuonae nikamkatalia nikamwambia kwani kuna ubaya gani ukisoma huku nimke wa mtu akalia sana kuwa nisifanye hivyo now anasema bas aingie masters mwaka wa kwanza ukiisha tu tunaoana huku anaendelea kusoma kiukweli mbaka leo sijajua ni nini anakitengeneza au ni nini anakitafuta japo ndio najua kuwa ni ndoto zake na siwez kumzuia kusoma ila ngoja tuone itakuaje mungu ndo anajua
Hongera mkuu,wengine tulipenda sana lakini ilishindikana,hakuna kitu kizuri kama kuanza na kumaliza pamoja,na hakuna kitu kinaumiza kama kuachana na mtu uliyempenda,kuja kupata mwingine umpende kama mwanzo ni vigumu sana japo inatokea lakini kwa uchache sana.Hakuna kitu bora katika maisha kama kumpata wa kuendana nae, na ukimpata kila kitu kinakaa ktk nafasi yake.
Huo upendo, kujali vyote vinakuja bila kutumia nguvu.
Mimi nitaendelea kumshukuru Mungu, nimeyaona na kuyaishi mapenzi ya kweli kwa neema zake.
Mkuu, huyo ninayemuongelea hapa tuliachana pia. Nakiri niliumia, nilipitia wakati mgumu kumpata kama yeye, mwisho nikakubali kushindwa nikarudi kwake.Hongera mkuu,wengine tulipenda sana lakini ilishindikana,hakuna kitu kizuri kama kuanza na kumaliza pamoja,na hakuna kitu kinaumiza kama kuachana na mtu uliyempenda,kuja kupata mwingine umpende kama mwanzo ni vigumu sana japo inatokea lakini kwa uchache sana.
[emoji22][emoji22]
hahahKuna ukweli hapa, me mke wangu tulianza kudeti 2003 wakati huo nipo form 2, tukaja kuoana 2013. Now tuna miaka 10 ya ndoa lkn miaka 20 ya mahusiano. Anasemaga ananijua kama kanizaa yeye [emoji3]
Acha kumpa presha mwenzio mkuu🤣🤣🤣Kuna msela anapiga kampanga akimaliza mastaz amuoe😀😀😀
Omba sana mkuu, maisha ni Vita.
Nili date na mwanamke miaka saba mpaka tukafanana ,tulipewa majina kwamba sisi ni mapacha ila nilicho ambulia ni kadi yake ya send off pamoja na fedheha kibao,
Mimi kama mwanaume nilisononeka sana ila hakuna jinsi nimejifunza sana mwanamke siyo kiumbe kizuri ni hatari mno na hupaswi kumuweka akilini.
Mlio weza kudate muda mrefu na mkaoana na kuolewa nendeni mkatoe sadaka ya shukrani sawa sawa na imani zenu.