Kuwasifia Nandy & Billnas kupeana mimba nje ya ndoa ni ukosefu wa maadili

Kuwasifia Nandy & Billnas kupeana mimba nje ya ndoa ni ukosefu wa maadili

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Ninaandika huu uzi nikiwa na hasira iliyochanganyikana na huzuni kwa huu mmomonyoko wa maadili unaozidi kuota mizizi. Jamii kwa sasa iko bize kushabikia mambo ya kipuuzi huku ikiachana na agenda muhimu za kitaifa. Picha na video chafu zimekuwa na thamani kuliko mambo mengi yenye tija mitandaoni.

Jana ilikuwa na habari iliyovuma sana kuhusu Mama Wema na Luludiva kwa habari ya video zao chafu. Ila leo ghafla habari inayoenea ni Nandy na Billnas kupeana mimba kabla ya ndoa na kuutangazia umma kupitia mitandao ya kijamii. Wamasambaza picha zao za kimahaba huku Nandy akiwa tumbo wazi.

Walichokifanya hakikubaliki kwa mila na desturi zetu pia hata kiimani ya kikristo. Hakuna kabila wala dhehebu la kikristo linaloruhusu kupeana mimba kabla ya ndoa. Pia hakuna kabila wala kanisa linaloruhusu kusambaza picha za mama mjamzito akiwa tumbo wazi. Walichofanya ni kinyume kabisa na maadili ya kimila na kikanisa. Wote wanaowasifia pia wanafanya upuuzi. Binafsi NASUBIRI KUONA KANISA LITAKALOWAFUNGISHA HIYO NDOA WATU HAWA WAWILI inaosemekana wanapendana sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1657217068672.jpg
    FB_IMG_1657217068672.jpg
    46.2 KB · Views: 21
Ninaandika huu uzi nikiwa na hasira iliyochanganyikana na huzuni kwa huu mmomonyoko wa maadili unaozidi kuota mizizi. Jamii kwa sasa iko bize kushabikia mambo ya kipuuzi huku ikiachana na agenda muhimu za kitaifa. Picha na video chafu zimekuwa na thamani kuliko mambo mengi yenye tija mitandaoni.

Jana ilikuwa na habari iliyovuma sana kuhusu Mama Wema na Luludiva kwa habari ya video zao chafu. Ila leo ghafla habari inayoenea ni Nandy na Billnas kupeana mimba kabla ya ndoa na kuutangazia umma kupitia mitandao ya kijamii. Wamasambaza picha zao za kimahaba huku Nandy akiwa tumbo wazi.

Walichokifanya hakikubaliki kwa mila na desturi zetu pia hata kiimani ya kikristo. Hakuna kabila wala dhehebu la kikristo linaloruhusu kupeana mimba kabla ya ndoa. Pia hakuna kabila wala kanisa linaloruhusu kusambaza picha za mama mjamzito akiwa tumbo wazi. Walichofanya ni kinyume kabisa na maadili ya kimila na kikanisa. Wote wanaowasifia pia wanafanya upuuzi. Binafsi NASUBIRI KUONA KANISA LITAKALOWAFUNGISHA HIYO NDOA WATU HAWA WAWILI inaosemekana wanapendana sana.
Mimi nilifurahi siku video yake na billnas ilipovuja akasema eti alipoona aliwaza baba mchungaji atamwonaje, nikawaza kumbe ulokole wake ni yafanyie gizani ili mradi watu wasijue maana anaogopa watu si Mungu.

Any way sote tuna madhambi yetu ambayo jamaa ikiyajua si ajabu hawatakutazama the same.

Pili hivi ni bora kutoa mimba mwanamke aonekane ameolewa bila kubeba mimba au ni afadhali kama kaibeba azae tu au aolewe akiwa nayo?

Na mwisho kabisa, tunaishi jamii ambayo kila kitu kimekuwa kawaida kama mama kurudiana na bwana aliyemwonyesha binti yake dudu
 
Ninaandika huu uzi nikiwa na hasira iliyochanganyikana na huzuni kwa huu mmomonyoko wa maadili unaozidi kuota mizizi. Jamii kwa sasa iko bize kushabikia mambo ya kipuuzi huku ikiachana na agenda muhimu za kitaifa. Picha na video chafu zimekuwa na thamani kuliko mambo mengi yenye tija mitandaoni.
UBIRI KUONA KANISA LITAKALOWAFUNGISHA HIYO NDOA WATU HAWA WAWILI inaosemekana wanapendana sana.
Ukitaka kukonda na kufa Kijana endekeza Siasa na Dini kuliko ugali.

Hakikisha tu familia yako inakula na unailea katika maadili upendayo Maswala ya Akina Muziki na akina Siasa na akina Dini Achana nayo tu Mkuu ukifa utakumbukwa kwa urithi uloacha siyo kwa ushauri wako.

Japo binafsi sifagilii Ushamba na Ushetwani wao wa kumdhihaki Allah kwa kujiita Wakristo huku wakimshuhudia Shetwani kwa Matendo yao.
 
Uzuri wao sio wakwanza kufanya hivyo. Achana na maisha yao.
Watanzania wengi ni mafundi wa kutoa ushauri ambao hawakuombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo yasiyowahusu.

Billnas akimtia Nandi mimba kabla ya ndoa mtu akishikia bango, wengine wanaweza kufikiri huyo aliyeshikia bango alitaka kutiwa mimba yeye. Ana wivu.
 
Back
Top Bottom