Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Uzuri wao sio wakwanza kufanya hivyo. Achana na maisha yao.
This is JF 🤣🤣🤣Hata wewe sio wa kwanza ku-comment pumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wao sio wakwanza kufanya hivyo. Achana na maisha yao.
This is JF 🤣🤣🤣Hata wewe sio wa kwanza ku-comment pumba.
Hujanipuuza, umenijibu.Nimeamua nikupuuze.
Ushoga ni uhuru binafsi, na wewe si mahakama wala polisi.Ndugu Kiranga nyie ndo wale mnaotetea ushoga kwamba ni uhuru binafsi. Kama kungekuwa hakuna kuongelea mambo ambayo hayako sawa kwenye jamii basi kusingekuwa na haja ya mahakama wala polisi. Kwa mfano wewe Kiranga itokee hata muujiza umepata mamilioni ya hela kisha nenda kaweke kwenye akaunti yako uone kama hutatafutwa utolee maelezo hata kama ni zako. Acha kutetea upuuzi kwa hicho kiingereza chako cha juhudi binafsi.
Tz nazini au mnapapasana tu,kuna watu wanagegedana kama wazungu?Hiyo ndio nchi ilipofika watu wazini tuuu
Acha wivu, wangapi wana mimba kabla ya ndoa dunia hii?Ninaandika huu uzi nikiwa na hasira iliyochanganyikana na huzuni kwa huu mmomonyoko wa maadili unaozidi kuota mizizi. Jamii kwa sasa iko bize kushabikia mambo ya kipuuzi huku ikiachana na agenda muhimu za kitaifa. Picha na video chafu zimekuwa na thamani kuliko mambo mengi yenye tija mitandaoni.
Jana ilikuwa na habari iliyovuma sana kuhusu Mama Wema na Luludiva kwa habari ya video zao chafu. Ila leo ghafla habari inayoenea ni Nandy na Billnas kupeana mimba kabla ya ndoa na kuutangazia umma kupitia mitandao ya kijamii. Wamasambaza picha zao za kimahaba huku Nandy akiwa tumbo wazi.
Walichokifanya hakikubaliki kwa mila na desturi zetu pia hata kiimani ya kikristo. Hakuna kabila wala dhehebu la kikristo linaloruhusu kupeana mimba kabla ya ndoa. Pia hakuna kabila wala kanisa linaloruhusu kusambaza picha za mama mjamzito akiwa tumbo wazi. Walichofanya ni kinyume kabisa na maadili ya kimila na kikanisa. Wote wanaowasifia pia wanafanya upuuzi. Binafsi NASUBIRI KUONA KANISA LITAKALOWAFUNGISHA HIYO NDOA WATU HAWA WAWILI inaosemekana wanapendana sana.
Ndoa sio kwenda Kanisani au Msikitini, mkishatambulishwa kwa ndugu wa pande zote mbili na kulipiwa mahari hiyo tayari ni ndoa.Ninaandika huu uzi nikiwa na hasira iliyochanganyikana na huzuni kwa huu mmomonyoko wa maadili unaozidi kuota mizizi. Jamii kwa sasa iko bize kushabikia mambo ya kipuuzi huku ikiachana na agenda muhimu za kitaifa. Picha na video chafu zimekuwa na thamani kuliko mambo mengi yenye tija mitandaoni.
Jana ilikuwa na habari iliyovuma sana kuhusu Mama Wema na Luludiva kwa habari ya video zao chafu. Ila leo ghafla habari inayoenea ni Nandy na Billnas kupeana mimba kabla ya ndoa na kuutangazia umma kupitia mitandao ya kijamii. Wamasambaza picha zao za kimahaba huku Nandy akiwa tumbo wazi.
Walichokifanya hakikubaliki kwa mila na desturi zetu pia hata kiimani ya kikristo. Hakuna kabila wala dhehebu la kikristo linaloruhusu kupeana mimba kabla ya ndoa. Pia hakuna kabila wala kanisa linaloruhusu kusambaza picha za mama mjamzito akiwa tumbo wazi. Walichofanya ni kinyume kabisa na maadili ya kimila na kikanisa. Wote wanaowasifia pia wanafanya upuuzi. Binafsi NASUBIRI KUONA KANISA LITAKALOWAFUNGISHA HIYO NDOA WATU HAWA WAWILI inaosemekana wanapendana sana.