Kuwasifia Nandy & Billnas kupeana mimba nje ya ndoa ni ukosefu wa maadili

Ushoga ni uhuru binafsi, na wewe si mahakama wala polisi.

Mfano wako wa mimi kuweka hela zangu kwenye akaunti yangu, wewe hiuna haki ya kuniingilia, kuna sheria na watu wenye mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.

Watanzania wengi mnapenda kuingilia mambo ya binafsi ya watu wasiowajua, wasiowajali wala kuwaelea.

Ni aina fulani ya frustrations za maisha.

Mnapenda ku control maisha ya watu.

Tatizo hao watu hata hawawajui.
 
Wazee wazima tunajadili mimba za vijana wadogo wakati dada zetu nao washazalishwa huko majumbani mwetu!
 
Some people want to control other people.

All this virtue signaling is just a mean to that end.

Whether they know it, or not.

Issue ni, kimsingi Billnas anaambiwa "Kwa nini unaishi maisha yako kwa uhuru wako na raha zako? Mimi sipendi kukuona unafurahi hivyo, nataka kuku control uishi ninavyotaka mimi, probably kimasikini kama mimi, kwa woga wa kuogopa jamii kama mimi"

Poor, unsuccessful, fearful, unfree people hate it when they see rich, successful, daring, free people living their best lives without a care for some bullshit societal rules.

They unfree hate that.They want to stop that at any cost. they want to control other people's lives.

Deep down, this is the problem.
 
Mambo yao waachie wenyewe, yasikuumize kichwa...
 
Huoni watu wanasifia DC Kubeba mimba bila kuwa na ndoa. Hovyo kabisa kizazi hiki
 
Pole sana Mkuu na ujitulize usije pata kiharusi bure maana siku hizi hiyo ndio fasheni na ndio dunia ilipofikia kwa sasa. Nakumbuka zamani kwa dini yetu huko kwetu Mashikolombwinde Mchungaji hafungi ndoa ya mwanamke mjamzito.
 
Achana na maisha ya watu wewe pambana na yako, kwani wao ni wa kwanza??!!!
 
Acha wivu, wangapi wana mimba kabla ya ndoa dunia hii?
 
As gentleman uliekamilika Kiakili/kifikra, huwezi kufanya huu nnaoweza kuuita utoto+upuuzi kama mwanaume Kamili utangaze mkeo kuwa mjamzito!? Hakuna hongera kwa mjamzito! Bali kwa kujifungua salama!
 
Ndoa sio kwenda Kanisani au Msikitini, mkishatambulishwa kwa ndugu wa pande zote mbili na kulipiwa mahari hiyo tayari ni ndoa.
 
Acha kupanic na vitu vya kawaida, "Ndoa hufungwa na MUNGU binadamu Ni mashahidi tu" hizi Taratibu za kibinadamu tu namna ya kujifurahisha tu! Co-creation= GOD+father+Mother , mtoto anazaliwa kwa uwezo wa MUNGU tu!, That's why we don't say street children lather homeless kids, kwasababu mitaa haitungishi mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…