blastus mwakimonya
Member
- Dec 11, 2015
- 62
- 127
What's Up wenyewe wanaweka status 🤣🤣Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Mwezi mmoja au miwili iliyopita ndio nimejua status Nini, Nilikua najua ndio profile pic.
Na watsup nimeanza kuitumia tangu enzi hizo za Nokia E72(Symbian).
Kuna namna mtu anaweza akawa anaona status zako ila ww kwenye views haonekani wale wanaotumia GB WhatsApp nadhani kuna option hyo yaani utaona ana quote tu status yako ila kwenye views huwezi muona ni settings tu japo mimi niko pamoja na wasioweka mara kwa mara wale wanaoweka status mpaka zinakuwa kama tairi la baskeli mimi nawa mute halafu wengine ni wanaume inafikirisha sanaKuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Hatumii hayo makitu..Kuna namna mtu anaweza akawa anaona status zako ila ww kwenye views haonekani wale wanaotumia GB WhatsApp nadhani kuna option hyo yaani utaona ana quote tu status yako ila kwenye views huwezi muona ni settings tu japo mimi niko pamoja na wasioweka mara kwa mara wale wanaoweka status mpaka zinakuwa kama tairi la baskeli mimi nawa mute halafu wengine ni wanaume inafikirisha sana
Hapana msiishi kwa kukariri maana kuna wengine wanashinda online 24hrs ujue kuna kazi zinafanyika kupitia mtandao na kuhusu la kupost status au kutokupost havihusiani na mambo uliyoyaskia akili za kuambiwa changanya na zako.Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Wala sio vijiba vya roho, sema tu ni Interest au Hobby ya Mtu.Huo ni ukale mcheki Mo dewji yupo active sana kwenye mitandao ya kijamii wanaosema hivo ni wale vijiba roho.
Namba Moja fikiria upyaKupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi
1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp
2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo
3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena
Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake
Nimekuelewa...na huyo aliyekuambia ulikuwa 90's kisa hutumii whatsapp status nimemuelewa pia [emoji28]Nilikua 90's kivipi boss?
Faida??Watu wapo gerezani na wanaweka status sembuse sisi wa uraiani
Hasara?Faida??
Hasara??Faida??
Uko sahihi ila in this case, (WhatsApp Status) it's more about a person's situation, mood, state of mind, opinion etc.Suala la status limetupa sana obsessions zisizo za lazima. Watu wanatafuta self worth kupitia status, na ndio maana neno status kwa kiswahili maana yake ni Hadhi.
AsanteUkiweka hiyo kitu, na kwenye ku-view status za watu hawatakuona
[emoji16][emoji16][emoji16],Kama mie tu,Mimi siweki sana.. ila nikiamuaa ni bandika bandua, memes twende, video snaps twende, mistari ya bible twende.. yan vurugu tu..