Kuweka au Kutokuweka WhatsApp status: Kuna uhusiano na mtu kuwa smart, msomi au tajiri?

Kuweka au Kutokuweka WhatsApp status: Kuna uhusiano na mtu kuwa smart, msomi au tajiri?

Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
What's Up wenyewe wanaweka status 🤣🤣
 
Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.

Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview

Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??

Bado nawashangaaa aisee
Kuna namna mtu anaweza akawa anaona status zako ila ww kwenye views haonekani wale wanaotumia GB WhatsApp nadhani kuna option hyo yaani utaona ana quote tu status yako ila kwenye views huwezi muona ni settings tu japo mimi niko pamoja na wasioweka mara kwa mara wale wanaoweka status mpaka zinakuwa kama tairi la baskeli mimi nawa mute halafu wengine ni wanaume inafikirisha sana
 
Kuna namna mtu anaweza akawa anaona status zako ila ww kwenye views haonekani wale wanaotumia GB WhatsApp nadhani kuna option hyo yaani utaona ana quote tu status yako ila kwenye views huwezi muona ni settings tu japo mimi niko pamoja na wasioweka mara kwa mara wale wanaoweka status mpaka zinakuwa kama tairi la baskeli mimi nawa mute halafu wengine ni wanaume inafikirisha sana
Hatumii hayo makitu..
 
Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Hapana msiishi kwa kukariri maana kuna wengine wanashinda online 24hrs ujue kuna kazi zinafanyika kupitia mtandao na kuhusu la kupost status au kutokupost havihusiani na mambo uliyoyaskia akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Huo ni ukale mcheki Mo dewji yupo active sana kwenye mitandao ya kijamii wanaosema hivo ni wale vijiba roho.
Wala sio vijiba vya roho, sema tu ni Interest au Hobby ya Mtu.

Ukisema habari ya Mo. na mwingine atakujibu mbona Bakhressa hayupo active kwny social medias?

Ni hobby ya Mtu tu bila kujalisha uwezo wa kiuchumi au lah

Binafsi sipendi issue za kujipost picha as in DP, Status etc nikiweka picha huwa inakaa muda mrefu mpaka kukumbuka kubadilisha

To me, posting status isiyokuwa na business issues...revenue model I mean, ni Utoto na Ushamba.
 
Kupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi

1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp

2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo

3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena

Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake
Namba Moja fikiria upya
 
Back
Top Bottom