Kwahiyo kama CHADEMA mngekuwa madarakani mngeruhusu waingize kiholela?
Metre si wana-temper nayo tu.Kuingiza kiholela maana yake nini?
Shabiby kasema wazi mafuta yote yanaingia kupitia kwenye flow meter.
Achana na ukereketwa wa kivyama. Maendeleo hayana chama!
Tuungane kukataa wahuni!
Mzizi wa fitina uko hapo.
Mimi ni muumini wa serikali kutoa ruzuku ili bei ishuke. Ama itafute njia nyengine ambayo si ya uagizaji holela kama atakavyo Mh Shabibu itakayo fanya bei ishuke.
Mimi ni muumini wa serikali kutoa ruzuku ili bei ishuke. Ama itafute njia nyengine ambayo si ya uagizaji holela kama atakavyo Mh Shabibu itakayo fanya bei ishuke.
Metre si wana-temper nayo tu.
Serikali ipi itoe ruzuku ipi wapi ikiwa hata 100/- ya tozo inataka?
Holela ipi unayomnukuu nayo Shabiby out of context, wakati mwenyewe anasema mafuta yote yatapita kwenye flow meters ambazo kwa sasa wahuni wako busy kuzihujumu?
Flow meter ni tarakimu haziwezi kusindikizwa na maneno matupu ya kisiasa bila Takwimu. Atoe takwimu za kodi kabla ya bulk procument na baada ya bulk procument kutetea hoja yake.
Flow meter ni tarakimu haziwezi kusindikizwa na maneno ya kisiasa bila Takwimu. Atoe takwimu za kodi kabla ya bulk procument na baada ya bulk ptocument kutetea hoja yake.
Watumiaji mafuta wanachojali ni bei ya mafuta, sio brah brah nyingine
Zote katoa hizo.
Basis yake ya argument ni kuwa mafuta yaletwe kwa ushindani. Atakayetoa Ukraine, uarabuni, Venezuela, urusi nk wote waje kuuza kwa bei yao.
Huoni juu makodi yaliyopo bei ya kuagizia pia inachangia bei kwa mlaji?
Wahuni wenyewe ndiyo ninyi nini ndugu?
Mbona hiyo simu yako unayoitumia kuingia nayo JF iliingizwa kiholela kutoka China na ukainunua huku unakenua meno.
Hana
Hana arguement yeyote ya maana zaidi ya kuitisha serikali isitoe ruzuku na kutaka waruhusuwe kwenda kuizungukia na kuipiga kodi kwa uagizaji mafuta holela.
Si kweli. Anataka bei ya kuagizia cif iwe ya ushindani. Mengine wahuni kama tulivyo wazowea hamtakosa vikwazo.
Hiyo cfi ya kuagiza kiholela haikuwepo kabla ya serikali kuona shida yake na kuamua kuhamia utaratibu mpya wa bulk procurement? F = Freight.
Wahuni zao huwa ni hujuma.
Suluhu yetu ni kuungana kukataa wahuni.
Mkuu,Sasa ndugu mdau hebu tueleze . juzi tumeambiwa mafuta yapo ya kutufikisha siku 27. Lakini juzi ewura wametangaza bei mpya na zimeanza kutumika hapohapo , kwanini isingesubiriwa hizo siku 27 ziishe Ndo bei zibadilike?
Mjadala wake bahati mbaya haukufika hapa jF.
Hamna cha uhuni hapa brazaj kwanza sijui hata kama huyu Mh anasense of security precautions. Hivi kweli Tanzania tunataka tukajiingize kwenye vita ya Rubble na Dollar tutaiweza? Tusidanganyane hatuna misuli waliyo nayo China na India. Serikali iruhusu wafanyabiashara Wakitanzania wawe sehemu ya kuhujumu vikwazo kwa Urusi vilivyowekwa na NATO. Kwenda kununua mafuta kiholela ya kwenye hizo meli za Urusi anazozitaja huyu Mh zilizoko deep sea ni kuhatarisha Ulinzi na Usalama wa nchi.