Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

Nimefanya kazi bank like 2 years, nafahamu ushenzi wote. Lakini hakuna wizi rahisi wa style hiyo. Ni either ulitoa mwenyewe usiku ukiwa umelewa. Au kuna mtu anajua PIN yako. Au umepigwa na wakala kama maelezo hapo juu.
 
digital footprint. huo muamala wa lak tano lazima statement ioneshe ni ulitoka kwa njia gani wapi na receipt number. wao bank hawatak labda kukwambia ila wakichkua hio recipt no na tarehe itajulikana ulicash out wap kwa mahali, muda siku na terehe .
 
Nimefanya kazi bank like 2 years, nafahamu ushenzi wote. Lakini hakuna wizi rahisi wa style hiyo. Ni either ulitoa mwenyewe usiku ukiwa umelewa. Au kuna mtu anajua PIN yako. Au umepigwa na wakala kama maelezo hapo juu.
Napenda sana kujua A,B,C za kazi ya bank ,....
 
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,

Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.

Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini Siku hiyo ikaonyesha nimetoa Laki Tano.

Sasa Leo nimeenda Benki nimetoa Bank Statement kuangalia nimekuta tatehe niliyotoa Elfu Hamsini nilitoa Tena Laki Tano kitu Ambacho sio kweli.

Mimi nimebisha Sijatoa wakaniambia Basi kuna Mtu Anajua Namba yangu ya Siri ukweli Sijawahi Mps mtu yoyote namba yangu ya Siri wamesema Hawawezi Nisaidia.

Mimi ndo natskiwa nijue Nani Alitoa hiyo Pesa Ukweli Nimeumia Saana Unajua Pesa hii ni Nyingi Sana kwa Usawa huu humu kuna Watu waungwana naomba mnishauli nifanyeje pia Nimeambiwa Bank Statement Nitakatwa Elfu kumi na Mbili ni sawa tu Make nilikubali wakate nikiwa na Uhakika nitaludishiwa Pesa Zangu kuweni Makini Sana Msiseme Sijawashtua.
Ukweli ni kwamba hutarudishiwa hiyo hela na bank.We chakufanya kwanza nenda bank waambie wafungue Camera zao waone aliyechukua hela zako kwa kadi yako.

Kama hiyo imeshindikana waangalie je siku ulivyotuma hiyo tarehe ilikuwa saa ngapi.Na ulivyotuma kama kuna mtu katuma mara mbili hiyo interval ikoje na je alikuwa ni wakala wa wapi.
Kwa kawaida ukituma hela kuna risiti unapewa najua huwezi kuwa nayo lakini kwenye computer za benki iko kwenye memory
Na ulivyotuma hiyo hela lazima uli sign sasa wakuonyeshe mahali ulipo sign hiyo laki tano
hebu fanya haya halafu uje inbox
 
Bank statement inaonyesha pesa imetoka Atm au wapi ?

na wewe unadai umetoa 50k means 450k uli iacha na bank statement inaonyesha umetoa 500k badala ya 5k Si ndio ?
 
Back
Top Bottom