Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Mkuu mbona unatoa SoMo gumu sana
Hapana ndugu yangu mwanamke usimtangulizie upendo. Kaa nae ujue yupoje, unaweza kukazana kuhonga laki kumbe ni wa 20000. Unaweza ukaweka mpango wa kuoa kumbe anataka kukuchuna aendeleee na mambo yake. Wanaume wengi tunaingia matatizoni kwa sababu tunawekeza bila kuwa na taarifa sahihi. Ingia ukiwa mweupe na acha mazingira yakuongoze, dunia itakufundisha mengi sana. Enzi zangu nilishawahi kumwogopa mwanamke kumbe bia mbili tu analainika. Hakuna mtu alikuwa anajua maana huyu mwanamke alikuwa anakunywa kwa kujificha. Mpe nafasi awe free halafu yeye mwenyewe atakuonesha yupo level gani. Usiharakie kuwekeza au kujitoa bila kujua yupo level gani. Na kwa dunia ya leo wengi wao ukikaa nao ndani ya masaa machache ushajua.
 
1000020092.jpg
 
Kubababake! Kula chuma hiko.

Nyie madogo tatizo huwa mnajiona special sana, naona hapo unasema eti "utanikumbuka doly", acha ufala wewe hamna siku atakukumbuka huyo malaya, wewe sio special kama unavyojifikiria.

Kila siku tunasema humu achaneni na wake za watu tafuteni mabinti wasio na watoto, ila huwa mnajiona nyinyi ni special sana, mnafikiria ambao wananyooshwa na single mothers hawana hela, au hawajui kulomba, au hawana uzungu kama nyie, au mnafikiri wao sio wajanja ni washamba.

NASISITIZA TENA KWA WANAUME, Alichoshindwa mwanaume mwenzako na wewe utashindwa pia, usione aliyemshindwa huyo single mother ni Fala sana, Hujiulizi kwanini umemkuta yupo single na mtoto.

Kama unasoma hapa na bado unataka kuoa masingle mother, basi nawewe ndio kituo kitakachofuata. Ni swala la muda tu.

Be a Man, Mwanaume unastahili kupata kilicho bora.
Tatizo kaka alikuwa ashapenda ....usimlaumu
 
pole sana mkuu, sio single mother wote wapo hivi inategemea ila unapaswa tu kuwa makini na mtu wa kuwa nae umpate sahihi, kwahiyo move on utapata mwengine kubali huyo sio chaguo lako
Unamshauri ajaribu tena single mother mwingine😄😄😄
 
Kuna single maza nampenda lakin kwa andiko hili sina budi kumuacha kwa usalama wa afya ya akili yangu kabla sijapigwa na kitu kizito kama mleta mada.
 
Tushasema sana Humu ndani, But some people will never Learn, Learn or Perish!
 
Wanaume wengi tu wanaumizwa na single mother Ila hawakomi, Single mother hata kukupakazia umebaka mwanawe au umemlawiti ni kazi ndogo sana!
Hakuna baba asiye na upendo na damu yake hata awe maskin vipi tatizo Ni viburi vya wanawake wajinga!
Hili nalo neno....tatizo mbususu zao tamu ukionja tuu unasahau ushauri wote
 
Yani umeniudhi hizo msg zako umeweka kuwa ndeefu ungemjb tu sawa au hata kukaa kimya kabisa ukishajua malaya mchukulie kama malaya tu.
 
Back
Top Bottom