Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hata majibu ya mwanamke yako off. Alitaka kutengeneza content ila amebugi.Hata mimi nimegundua hilo na wote wanachanganya L na R
Mkuu mbona unatoa SoMo gumu sanaNdugu Mwanamke unavyozidi kumpenda ndio unavyozidi kuangamia. Usipende kama hauna ndugu ? Kuwa open minded mwache mwanamke akufanye umpende au umchezee usiweke hisia kabisa.
Hapana ndugu yangu mwanamke usimtangulizie upendo. Kaa nae ujue yupoje, unaweza kukazana kuhonga laki kumbe ni wa 20000. Unaweza ukaweka mpango wa kuoa kumbe anataka kukuchuna aendeleee na mambo yake. Wanaume wengi tunaingia matatizoni kwa sababu tunawekeza bila kuwa na taarifa sahihi. Ingia ukiwa mweupe na acha mazingira yakuongoze, dunia itakufundisha mengi sana. Enzi zangu nilishawahi kumwogopa mwanamke kumbe bia mbili tu analainika. Hakuna mtu alikuwa anajua maana huyu mwanamke alikuwa anakunywa kwa kujificha. Mpe nafasi awe free halafu yeye mwenyewe atakuonesha yupo level gani. Usiharakie kuwekeza au kujitoa bila kujua yupo level gani. Na kwa dunia ya leo wengi wao ukikaa nao ndani ya masaa machache ushajua.Mkuu mbona unatoa SoMo gumu sana
Tatizo kaka alikuwa ashapenda ....usimlaumuKubababake! Kula chuma hiko.
Nyie madogo tatizo huwa mnajiona special sana, naona hapo unasema eti "utanikumbuka doly", acha ufala wewe hamna siku atakukumbuka huyo malaya, wewe sio special kama unavyojifikiria.
Kila siku tunasema humu achaneni na wake za watu tafuteni mabinti wasio na watoto, ila huwa mnajiona nyinyi ni special sana, mnafikiria ambao wananyooshwa na single mothers hawana hela, au hawajui kulomba, au hawana uzungu kama nyie, au mnafikiri wao sio wajanja ni washamba.
NASISITIZA TENA KWA WANAUME, Alichoshindwa mwanaume mwenzako na wewe utashindwa pia, usione aliyemshindwa huyo single mother ni Fala sana, Hujiulizi kwanini umemkuta yupo single na mtoto.
Kama unasoma hapa na bado unataka kuoa masingle mother, basi nawewe ndio kituo kitakachofuata. Ni swala la muda tu.
Be a Man, Mwanaume unastahili kupata kilicho bora.
Unamshauri ajaribu tena single mother mwingine😄😄😄pole sana mkuu, sio single mother wote wapo hivi inategemea ila unapaswa tu kuwa makini na mtu wa kuwa nae umpate sahihi, kwahiyo move on utapata mwengine kubali huyo sio chaguo lako
Alivyo mwendawazimu doll atafanya ushenzi atakuja kuomba msamaha alaf nae atamsamehe.Umeandika kwa uchungu sana hiyo "utanikumbuka doly" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Doly 😂Umeandika kwa uchungu sana hiyo "utanikumbuka doly" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Atarudi na utampokea kama.mwana mpotevu
Acheni upumbavu, Mwanamke unamkuta ana mtoto huwa mnajipeleka kutaka nini?
Hili nalo neno....tatizo mbususu zao tamu ukionja tuu unasahau ushauri woteWanaume wengi tu wanaumizwa na single mother Ila hawakomi, Single mother hata kukupakazia umebaka mwanawe au umemlawiti ni kazi ndogo sana!
Hakuna baba asiye na upendo na damu yake hata awe maskin vipi tatizo Ni viburi vya wanawake wajinga!
Mbususu zao tamu alafu wanajilengesha na kauli mbiu ni kwamba mbususu haisuswi mwanawaneAcheni upumbavu, Mwanamke unamkuta ana mtoto huwa mnajipeleka kutaka nini?