Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Kwahiyo kuna D..alafu kuna Doly...
😅😅
Acha utoto
 
Kama kuna mtu anapitia hali hii afurahi sana ,Bora kuwa na mtu mbaya muwazi kuliko mbaya mnafiki..kwa maana ya kuwa mnafiki atakufilisi mpaka uite maji MMA ila mbaya mwema kama huyo anakwambia kabisa ili ushike 50 zako
 
Uongo mtupu. Hio typing n ya mtu mmoja. Hauachi space kwa baadhi ya neno na neno.
Kingine badala ya "r" unaweka "l" na ni kwa mesej za pande zote.

Tuache na ma single mama
 
Back
Top Bottom