Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Huyo hujampa kwa sababu haudumii angekuwa anahudumia watoto ungetanua kama kawa..
Tumeachana 5 years sasa, huko nyuma alihudumia alipooa tu ndo aliacha kwanini skumpa before? Huu Mbususu sio maembe kila mtu ale. kama ulikula before basi. Jua ukianza kufanya tu hisia zitarud mara umezaa tena na mtu ana mkewe huko si ujinga huo. Sasa nilidai talaka ya nini
 
mi
nyie wakina NEW GAL hawa wanaume wa namna hii huwa mnawatoa wapi lkn? Irresonsible men even to his own children?
 
Sema una kamsimamo flani hivi ambapo as a man ukikutana nao lazima uappreciate, the more mzazi mwenzako au ex wako anakukazia ndio vile unazidi kumuona hot, sijui tumeumbwaje sisi wanaume 😅
 
toka enzi nikiachana na mtu imeisha hyo, labda kwa kurogwa naweza nisibishe mana sio mkali kwenye imani
Bado hujakutana na kiboko yako, hivi uliwezaje kuwa na mwanaume kama huyo? anayesusia mpaka kuhudumia mwanae? dah kweli mapenzi ni konyo.
 
Mtakuwa mliachana kwa shari ingekuwa mmeachana kwa heri mngemegeana bila hiyana.
Natamani nngekupa mkanda mzima, hatukuachana kwa shari na hadi mkewe wa sasa nishawah salimiana nae inshort hamna bifu at all. Jamaa hana muda na watt mm ndo huwa namsisitiza hata kumptia siku za graduation. siwez andika everything hapa. Varangati limeanza nilipokataa kutoa mbususu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…