Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
nikama vile hukumpa mbususu kwasababu hakukupa ada ya watoto, kumbe angekupa ada ya watoto na kuzidisha kidogo UNGETOA MAKU YAKO, na hapo ndio hoja yetu ilipo.
 
Mbona tunawalaumu wanaume tu..hawa single mamas nao wanashida sana..maana huyu nilie zaanae ninafanya vyote kuhusu gharama za mwanangu lakini ananiletea mitego mingi sana mpaka namblock, wakati tulishashamoveon. Kama ambavyo hutoi mbususu kwa x mimi kama kidume Sitoi dushe kwa x hata kidogo sitengui kauli.
ndo mana tumesema kila sehem ina changamoto yake mkuu
 
Single mama unajifariji tu, kuna mwingine atakuja akulambe mbususu yako ajifanye amezima data halafu akutie vya fasta fasta umzalie watatu halafu anakuacha, utakuwa na jeuri ya kukatalia mbususu tena?
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
 
Single mama unajifariji tu, kuna mwingine atakuja akulambe mbususu yako ajifanye amezima data halafu akutie vya fasta fasta umzalie watatu halafu anakuacha, utakuwa na jeuri ya kukatalia mbususu tena?
Nasisitiza kuzaa pamoja haimaanishi ndo upewe. Dushe ziko nyingi mjini hapa
 
Nilijua tu mwishoni utaharibu na kuleta habari za kuchakatana mbususu... we Dr. Carlos huwaga ni mwehu sana! 😂😂😂

Leta na screenshots kadhaa kuonesha msisitizo kama kawaida yako 😂👍🏾
Mkuuuu yani kabla ya ujio wa pombe, mpira na starehe nyingine.

Mwanaume starehe yake ilikua ni kuchakata mbususu.

Yaan ukishatoka kutafuta Kwa jasho.....

Mwanawaniiiiii unaingia room, unaita Wife, unashushaa mzigooo🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
 
Single mothers waheshemimiwe! Ila ukibahatika kuingia kwenye mahusiano na wanawake wa namna hii huwaga ni perfect sana! Kwa sababu wana experience na exposure ya mambo mengi maishani hususani NDOA. Wameshasota sana!

Walio wengi huwa na akili na mawazo mazuri + mapenzi ya dhati.
 
Nashukuru kama umeamua kunielewa kwa angle hiyo
hakuna mwanamke atahududiwa vyema na watoto wake kutunzwa na mtaliki ati na akawa mgumu kutoa mbususu kwa mtaliki anaewajali. Tusidanganyane hapa na kupotezeana muda.

haiwezekani kuziba tundu la panya kwa mkate. Wewe unamahasira yako ya kunyimwa ada ndio maana UMEJITIA KAUZU.

na jambo la ziada masingle mother hua mnajivika kua victims sana ili hali wote tunajua 98% ya mahusiano na ndoa huvunjika kutokana na ujuaji, viburi na jeuri zenu.
 
[emoji4] ila yako inaonekana tamu sana hadi jamaa kaikumbuka wakati mlipelekana mahakamani kupeana talaka.
Mwanamke unamjua mtamu, unajua fika na wazi anajua kupika na kila aina ya rapsha yupo vizuri. Ya nini kujitoa akili mpaka kupelekana mahakamani muachane?! Wanaume wengine na sisi huwaga ni mazwazwa... baadae unalialia kwenye vi-SMS pumbavu! 😂👍🏾
 
Back
Top Bottom