- Thread starter
- #101
unakosea sana kaka, na kama unaona hivyo bora uchukue wanao ukawalee mwenyewe. ukiwa na mda ntakupa mkanda wote ili unijudge vzuri. sio kuassume vitu usivyovijua ni heri ungeniulizahakuna mwanamke atahududiwa vyema na watoto wake kutunzwa na mtaliki ati na akawa mgumu kutoa mbususu kwa mtaliki anaewajali. Tusidanganyane hapa na kupotezeana muda.
haiwezekani kuziba tundu la panya kwa mkate. Wewe unamahasira yako ya kunyimwa ada ndio maana UMEJITIA KAUZU.
na jambo la ziada masingle mother hua mnajivika kua victims sana ili hali wote tunajua 98% ya mahusiano na ndoa huvunjika kutokana na ujuaji, viburi na jeuri zenu.