Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Sema jamaa akutaka kukaza kama angeamua kukaza mbona mbususu angeila vizuri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nategemea kuona ukishusha kitu hivi karibuni kwenye ule uzi wetu pendwa kule!!!0711223344 Jina litakuja " MLA MBUSUSU"
Hayo yote ya nini mkuu?Tatizo lilikuwa kwa nani?
Makubaliano baada ya kuachana yalikuwa ni yapi?
Mliachana kwa taraka ngapi?
Kuna mali zozote mligawana baada ya kuachana au zote alikuachia wewe?
Mliachana kipindi hicho watoto walikuwa na umri gani?
Au sioSema jamaa akutaka kukaza kama angeamua kukaza mbona mbususu angeila vizuri tu.
Una kitu usikilizwe mkuuNadhani kuoana na kuachana ndo imekupa urahisi wa kumnyima jamaa mbusus, mngezaa tu bila attachment ya ndoa halafu mkashindwana na akaendelea kulea mtoto wake vizuri bila kupigishana kelele, mbusus ungekuwa unampatia tu.. Nawakilisha
Mkuu hapa nipo kwenye BUS , naenda kuchakata mbususu Kwa Bidada Fulani hivi, yaan naenda kwake, Niombeeen maana nafikia kwake !!.Mkuu nategemea kuona ukishusha kitu hivi karibuni kwenye ule uzi wetu pendwa kule!!!
[emoji4][emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiporo hakihitaji moto mwingiAu sio
Umeanza kupenda slope lini Carlos, usiseme sijakuonyaMkuu hapa nipo kwenye BUS , naenda kuchakata mbususu Kwa Bidada Fulani hivi, yaan naenda kwake, Niombeeen maana nafikia kwake !!.
Bidada ananiambia, Kwann ufikie Lodge Carlos .. naishi pekeangu, huku nmehamia kikazi, Nina miezi minne tu .Umeanza kupenda slope lini Carlos, usiseme sijakuonya
Hapo sawa, usisahu kingaBidada ananiambia, Kwann ufikie Lodge Carlos .. naishi pekeangu, huku nmehamia kikazi, Nina miezi minne tu .
Sasa nifanyaje ??.
Ila inaonekana jamaa yetu kususa ndo tabia yake japo hatuwezi kuyajua ya nyuma yenu.Huwezi kuwa kwenye ndoa ukanywa P2 mkuu
Jaman Kinga wakati ni siku ya Mimba?.Hapo sawa, usisahu kinga
Hayo yote ya nini mkuu?
Tujue tatizo lilianzia wapi.Hayo yote ya nini mkuu?
Mliwashirikisha wazee wenu? Au mlitumia utaratibu gani kuachana? Tatizo lake kuu lilikuwa ni nini?Tatizo ni yeye, makubaliano ni kusaidiana kulea watoto, kwenye mali hapo usinitie uchungu. Tuliachana mdogo ana mwaka mmoja mkubwa mi3