Habari zenu wanajukwaa,
Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.
Nawapenda
Kikubwa Salama tu.we chawote
Kwaiy mkuu uko tayali kutelekeza damu yako sababu umenyimwa mbususu😂?Una roho mbaya sana,ikisimama nakuja kwako,endelea kumpa kichwa huyo ila akue huduma kutoa hadi atoe mbususu over.
Hasira za kukosa matunzohakuna mwanamke atahududiwa vyema na watoto wake kutunzwa na mtaliki ati na akawa mgumu kutoa mbususu kwa mtaliki anaewajali. Tusidanganyane hapa na kupotezeana muda.
haiwezekani kuziba tundu la panya kwa mkate. Wewe unamahasira yako ya kunyimwa ada ndio maana UMEJITIA KAUZU.
na jambo la ziada masingle mother hua mnajivika kua victims sana ili hali wote tunajua 98% ya mahusiano na ndoa huvunjika kutokana na ujuaji, viburi na jeuri zenu.
Wee single mama wa kwanza duniani kuwa na roho ya uchoyoHabari zenu wanajukwaa,
Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.
Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.
Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.
Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.
Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.
Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.
Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.
Nawapenda
Mbususu nayo ni kitu cha kumnyima mwanaume kweli?Kwaiy mkuu uko tayali kutelekeza damu yako sababu umenyimwa mbususu😂?
Msitumiane namba zenu halisi.Hatutaki kesi tena.Mwambie akutumie namba za wakala kuonesha upendo.Weka namba nikutumie hata lunch umenifurahisha
Jipooze tu kwa comment ya mdau hapo lakini haiondoi makandokando yenu.Unatumia kinywaji gani ?? Agiza naja lipia
Nafurahishwa na kina nyie mnaotuchukulia in positive ways
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Huko kwa mabilionea wanaondoka mikono mitupu?Yaani we mkuu unajikuta una muelezea Mwanamke kama vile yeye ndio Wewe yaani unamjua nje ndani sasa kama pesa ina mtuliza Mwanamke mbona mabillionea wana achwa,Nataka nikwambie kuna Wanawake kama hana hisia na wewe hawezi tena kufanya sex hata kuwe na pesa mbele.
Unarudia yale yale yaani kama kweli pesa ndio kila kitu kwa Mwanamke kama mawazo yenu yalivyo why anaondoka nimeuliza hilo usiruke swali.Huko kwa mabilionea wanaondoka mikono mitupu?
Acha basi na wewe, mbona ivyooJipooze tu kwa comment ya mdau hapo lakini haiondoi makandokando yenu.
Yani kaongea ukweli mtupuWeka namba nikutumie hata lunch umenifurahisha
Sio kweli,kama mtu ameshaoa mke wake ale hukohuko kwa mkeweKwani wakati anakutia mpaka kukupa mimba alikua anakubaka,? Kama ulikua unampa mara kwa mara kabla ya mimba ni haki kukuomba mara kwa mara, kama anatoa matumizi ya mtoto wepa mbunye hiyo
Pole sanatumeachana 2018, watoto wawili,chanzo cha kuachana ni kirefu mno