Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.


Nawapenda

Wewe ndo umewaharibia single Mothera kabisa, hatari sana........
 
Kwa majibu hayo mbona umeshakubali? Kitendo tu cha kutafutana hadi mkaanzisha hizo mada hiyo ni sababu tosha ya sisi vijana kupiga vita suala la kuoa singo maza

Zamani tulilegeza masharti tukaweka sharti la kuonyeshwa kaburi ila kwa sasa tumeboresha masharti Kabla hatujaoa singo maza ni lazima tuwe tumeshiriki kwenye mazishi na kuchimba kaburi la baba mtoto wako.
 
Hasira za kukosa matunzo
 
Wee single mama wa kwanza duniani kuwa na roho ya uchoyo
 
Huko kwa mabilionea wanaondoka mikono mitupu?
 
Kuwa na uamuzi mmoja ni vyema sana kwa wenza hata wapenzi walio achana wamezaa na wasio zaa, wanawake wengi wamedhalilishwa na kuumizwa ila bado wanakubali kupanua miguu kwa watu hao hao, kuwa na msimamo na maisha yako.
Unapokosa msimamo unatafuta haya
1. Maradhi mana wengi wanaume huwa na mahusiano mapya
2. Ugomvi na mwanamke mwingine
3. Kuendelea kuwa chombo cha starehe
4. Kudumaa kimawazo kwa kuendelea kukaa kwenye duara la umaskini wa hisia, mana anakula na anakuacha.
5. Utajenga kuonekana wewe ndio mbaya kwa mtoto wako.
6. Unajichafua
7. Msongo wa mawazo
8. Kuzidi kuwa maskini/ kufirisiwa
9. Kupoteza sifa ya kuolewa tena
Pendeni watoto wenu na wapeni nafas wanaume wingine.
#Kadhaa moyo wako
 
Ni vile hajaamua tu, akilipa ada na vizawadi kidogo anaupiga mwingi. Waga mnaeleweka basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…