Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Inategemea na walivyoachana
 
We ni mwanamke mpumbavu sasa usiinhie kwenye mahusiano kama hutaki mapenzi ni bora uwe msagaji
Huyo mwanaume yuko sahii
 
Msimamo wako mzr, sema sasa tatizo lipo Kwa wahusika asilimia kubwa hawawezi hii misimamo ukizingatia hawajaolewa n shughuli.
 
Ushauri wako ni mzuri,lakini wengi huo mtego huwa hawachomoki,akiombwa anajikuta kaingia tena,kumbe mwenzake anataka kumuonja,wakati yeye ana amini kuwa jamaa ndio anarudi...
 
Single mama unajifariji tu, kuna mwingine atakuja akulambe mbususu yako ajifanye amezima data halafu akutie vya fasta fasta umzalie watatu halafu anakuacha, utakuwa na jeuri ya kukatalia mbususu tena?
Kwanini mnafocus kumuombea mabaya zaidi mtu aliyekumbwa tayari na matatizo. Hapo ndipo wanaume tunaposhindwa kuelewana, yaani kwanini ufocus kumuombea mabaya mwanamke na tulishasema akili zao na zetu hatufanani. Kizazi cha ajabu hiki[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii campaign unayotaka kuianzisha haifai, badala ya kuwanadi ndio utawaharibia kabisa. Kiache kizuri kijitangaze, siasa haifai katika mahusiano. Utaumbuka, watu wanaexperience tofauti, hivyo acha campaign uchwara.
 
Hii campaign unayotaka kuianzisha haifai, badala ya kuwanadi ndio utawaharibia kabisa. Kiache kizuri kijitangaze, siasa haifai katika mahusiano. Utaumbuka, watu wanaexperience tofauti, hivyo acha campaign uchwara.
Wacha negativity bwamdogo!

Huyo ulimpata wewe alikuwa mapepe tu! Single mothers waheshimiwe. Hujui maumivu wanayoyabeba!
 
Wacha negativity bwamdogo!

Huyo ulimpata wewe alikuwa mapepe tu! Single mothers waheshimiwe. Hujui maumivu wanayoyabeba!
Nani kaongelea swala la heshima boss, nimekuambia tu, hizo campaign hazifai zitakuumbua bwana mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23]. Halafu mimi na single mother wapi na wapi. Ila jua tu mahusiano hayana siasa, sawa bwana mkubwa. Wema hauozi na kizuri hakifichiki hivyo punguza siasa.
 
Nimegundua we ni ZWAZWA! siasa iko wapi hapa?! Wewe baba yako alikatazwa kuingia siasani mje mle mema ya nchi muache kuchukia na kukasirikia watu?!

SIKUJIBU TENA WE KILAZA

#SINGLEMOTHERSWAHESHIMIWE
 
Nimegundua we ni ZWAZWA! siasa iko wapi hapa?! Wewe baba yako alikatazwa kuingia siasani mje mle mema ya nchi muache kuchukia na kukasirikia watu?!

SIKUJIBU TENA WE KILAZA

#SINGLEMOTHERSWAHESHIMIWE
Umenitukana na kuniita majina yote, 😂😂😂 hapo ndio mtu dhaifu ajulikanapo. Comment yenyewe umeshindwa kuielewa😂😂😂. Acha campaign za mapenzi ni ukosaji wa maarifa. Jifunze utu uzima🤣🤣
 
Sasa ukimbania mbususu ndo utakuwa umempunish eti?
Mbona ataenda tu kupewa kwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…