Kwa kweli la sivyo unaitwa feminist sasa hiviπUshamkwaa muungwana tayari ππ
Punguza kusema ukweli
Kuna watu muda wote hata hawajui kusoma comment za utani na za serious wao ni kupanic tu....job truetrueKwa nini lawama ziwe kwa bibi na sio kwa bibi na babu mkuu?
Sitetei wizi na nilivyosema wanaume wapigwe sikua serious na hapo nilikua nataniana na rafiki zangu ila ndani ya utani wangu kuna asilimia za ukweli.π
inshort nikiwa na chat na Joannah na Lamomy mara nyingi ni kutaniana na kufurahi tu so take it easy mkuu
Ni kazi aiseeKuna watu muda wote hata hawajui kusoma comment za utani na za serious wao ni kupanic tu....job truetrue
Wana stress pesa hawana na wanawake hawawataki wakiona hivyo basi hasira zao zote wanamalizia kwetu ππKwa kweli la sivyo unaitwa feminist sasa hiviπ
Ni hatari dogo ila mi nishajiambia sitaruhusu mtu aniambukize stress zake. hapa JFπWana stress pesa hawana na wanawake hawawataki wakiona hivyo basi hasira zao zote wanamalizia kwetu ππ
πππ Mi nawaongezea kuwapandisha visukari wakafie huko.!Ni hatari dogo ila mi nishajiambia sitaruhusu mtu aniambukize stress zake. hapa JFπ
πππ job true true au sioKuna watu muda wote hata hawajui kusoma comment za utani na za serious wao ni kupanic tu....job truetrue
Wewe tenaππππ Mi nawaongezea kuwapandisha visukari wakafie huko.!
Kuna muda nawapelekea moto mpk wanaenda kufungua id mpya ili wapooze machungu yao π€£π€£π€£Wewe tenaπ
Wangekua wanamexa dawa zao za presha na sukari kabla ya kukuvaa!π
Huwa nikikuonaga engo hizo nacheka sana hlf wao wanakua serious hawajui hizo vitu mwenzao unaona kama mchezoπKuna muda nawapelekea moto mpk wanaenda kufungua id mpya ili wapooze machungu yao π€£π€£π€£
ππππππππΎππΎππΎππΎUzi ungeuandikia kwenye boxer yako ukauficha huko ningeuonea wapi? Au ungeandikia kwenye toilet paper ukauchambia, ili nisiuone
Wangeona ninavyowajibu huku nacheka nadhani wangeacha wanachofanya kwa afya yao ya akili π€£π€£π€£Huwa nikikuonaga engo hizo nacheka sana hlf wao wanakua serious hawajui hizo vitu mwenzao unaona kama mchezoπ
I know πWangeona ninavyowajibu huku nacheka nadhani wangeacha wanachofanya kwa afya yao ya akili π€£π€£π€£
Yaani naenjoy hawajui tu, nawageuza ninavyotaka nawaacha wanasonya mpk usingizini πΉπΉ
Weeh wale sukari inawapandaga kweli wananiombeaga had ban πππI know π
Ila ukute hata hawakuchukii labda na wao wanakuchokoza tu for funπ
Ukute vile unawawashia moto na wao wanachekaa ila walio na chuki kweli ndo hapo sukari zinawapandaπ
Haters wa kweli hawakosekani mdogo wangu ila sio ajabu kuna wengine ukute anajiambia kabisa ngojeq nimzingue lamomy leo ila moyoni anakupendaπWeeh wale sukari inawapandaga kweli wananiombeaga had ban πππ
Mkigusa panapouma lazima akimbilie JF HQ kujitetea, wakiona wamekushindwa wanafungua id mpya warudi kivingine watukane wapooze machungu yao na wasichokijua hakuna tusi naliogopa na jipya yote ya zamani na yashaexpire wanajichosha.. πΉπΉπΉ
Wengine wanafanya kusudi ili niwajibu siku yao iende vizuri, wengine yakinishindwa yanaanza kunibebisha πππHaters wa kweli hawakosekani mdogo wangu ila sio ajabu kuna wengine ukute anajiambia kabisa ngojeq nimzingue lamomy leo ila moyoni anakupendaπ
Haters fake yaaniπ
ππWengine wanafanya kusudi ili niwajibu siku yao iende vizuri, wengine yakinishindwa yanaanza kunibebisha πππ
Kuna muda unaingia unakuta mention kibao halafu za kipuuzi tupu unabaki unacheka basi sasa utafanyaje?! πΉ
Wengine wanakuwa na maumivu yβa kweli hao pole yao.. sina la kuwasaidia wapambane na stress zao..!
Uwe unaniita nikusaidie kuwajibu πππ
Kabisa usikubali kuambukizwa stress.
Mi sijui ni uzee yaani huwa naishiwa kabisa nguvu za kujibu siku hiziπ