Kuzaliwa na kifo ndiyo ukweli pekee katika maisha! Mengine yote afanyayo binadamu katika maisha yake ni maigizo

Kwani wewe ukipanda mbegu shambani huwa huipendi kuila! Si unapanda ili iote izae nyingi?
Mungu alimleta mwanae afanyike kuwa mbegu za kuzaa wema kwa wanadamu!
Alikuja kuigiza maisha kama mwanadamu ili apitie machungu yote! Na pale aliposhinda aliwatangazia wote wanaomwamini yeye nao watashinda!
 
Kwa hiyo stori za Mungu na Yesu unaziona real?
 
Ni kama kutoa haja tumboni ndugu ..ndiyo maana mtu anaweza zaa hata mara 10! Lakini haweza kiumbe hikohiko mara 10, lazima azae tofauti maana hiko kinachozaliwa ndicho halisi! Lakini mzaaji anaigiza tu
Igizo si unaweza rudia hata mara mia?
 
Hata ukiyakubali haibadilishi unachoigiza ni kama ndege tu walivyo kutwa wanazurula jioni wanarudi kwenye viota! Hata wewe binadamu ndivyo ulivyo huna ramani ya kudumu upo unaigiza tu kuishi kadri ya mazingira ulipo

Kwa hiyo hata wewe unavyoandika hapa unafanya masihala au unaigiza tu??
 
Kwenye haya maigizo nahisi mimi ni kanumba kwenye scene ya umaskini, maana naipatia mnoo
 
Inategemea igizo lako liko upande gan: likiwa kwenye utajiri hata ukiuza mawe yananunuliwa;

Zingatia hata Yesu alikuja duniani kuigiza kama mwanadam ili kupitia machungu ya kuishi kama binadam na kushinda majaribu
Wewe pengine una tatizo la kisaikolojia. Maisha yamekupiga badala ya kupigana, unatafuta njia za kijiliwaza.
 
Mzee amka ukatafute hela acha kuota. Yaan Elon musk anaigiza? Hauko serious aisee.
 
Maigizo pia haya
 

Attachments

  • 6d9e2b3003b1454e87b29692ca63fa4a.jpg
    39.6 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…