Kuzuia mikutano ya siasa kunaifubaza CCM na kuimarisha Upinzani, ndio maana Uchaguzi Mkuu 2020 ulikuwa mgumu kwa CCM

Kuzuia mikutano ya siasa kunaifubaza CCM na kuimarisha Upinzani, ndio maana Uchaguzi Mkuu 2020 ulikuwa mgumu kwa CCM

Huruma ya Mungu haipimiki maana ni kubwa sana LAKINI hasira ya Mungu haizuiwi na mwanadamu awaye yeyote.

Mungu huwapa wanadamu nafasi ya kujirudi, na kurudia utu wao. Viongozi wa CCM walipewa nafasi hiyo, lakini hawakubadilika kwa lolote. Wakatenda kwa ukaidi, dhuluma, uonevu na upendeleo.

Mungu ameendelea kutoa nafasi kwa hawa walevi wa madaraka. Lakini kiburi kikiendelea, Tanzania inaweza kuendelea kuongozwa na Makamu wa Rais kila baada ya uchaguzi.

Enendeni katika haki. Msipendelee wala kuonea hata mkamfanya Mungu wa haki akwa kinyume chenu.

Watu walimwomba sana Mungu wakati wa awamu ya 5. Maombi yalikuwa ya aina mbalimbali, lakini mengine ilikuwa ya kumwomba Mungu awaondolee mtawala mbaya. Kwa namna gani, hakuna aliyefikiria, maombi ilikuwa kuwaondolea mtawala mbaya. Maombi yao, kwa wakati ufaao, Mungu akatekeleza, tena kwa namna ambayo wengi hawakutarajia. Lakini ni nani mwenye kuhoji hekima ya Mungu?

Watu wa Mungu, wakati wakimshukuru Mungu kwakusikiliza sala zao, japo Mungu kawajibu maombi yao kwa mkono wenye nguvu, wa kuogofya, wasichoke kuendelea kumwomba awainulie kiongozi mwenye hekima, kiongozi mwenye upendo, kiongozi msikivu tena asiye na upendeleo, na pale kiongozi akikengeuka kwa kiburi na jeuri, awanusuru watu wake kwa kumwondoa kwa namna yoyote iwayo.
YESU,MOHAMAD,nao waliondolewa duniani ilivyo kwa MAGU unawazungumziaje na hao
 
Nafikiri statement sahihi hapa ni WATANZANIA WALISHAJIFIAGA...CCM ni chama cha siasa na lengo lake kuu ni kutawala na Mimi sioni kama wamefeli kwenye lengo Lao Hilo,na wanatawala comfortably, wananchi wako kama chura na Ng'ombe CCM maji anakunywa vizuri tuu...Kwa muktadha huo.. Failure sio CCM..Aliyefeli hapa anajijua sema hataki tuu kujikubali.
Acha kujiongeresha kama umekatwa kichwa. Kwa nini MaCCM akili zenu azina akili..?!
CCM ilishajifiaga uo ndio ukweli, na sikweli kuwa wanatawala comfortably, wasingeteka, kutsesa, kupiga risasi na kuua watu. Wasingeiba kura na kuvuruga chaguzi. Ni Majeshi yetu yameachagua upanande na yanafanya siasa. ndio unaita Comfortably hii.. jinga sana wewe!
 
Umesema ukweli. Na uchaguzi wa 2020 ungekuwa huru CCM ingeshindwa vibaya sana. Lakini naona mama hilo halimsumbui kwa sababu ameshajua inawezekana kutumia nguvu kupora kura na kisitokee chochote.

Ile ni mbinu ya muda tu, hata magu mbinu ile alifanikiwa kwa mara moja tu, kwa hali ya uchumi ilipokuwa imefikia, asingeweza kufanya hivyo 2025 na akabaki salama.
 
Binafsi sioni tija yoyote katika kuzuia mikutano ya kisiasa kwa sababu uchaguzi mkuu wa 2020 ulikuwa mgumu zaidi kwa CCM kuliko ule wa 2015.

Kuzuia mikutano ni mbinu za kikoloni ambazo hazikuwasaidia lolote wakoloni wa enzi hizo.

Natamani awamu ya 6 ije kisasa zaidi, Wapinzani wanakabilika tusiwaogope.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa mgumu kwa CCM kuliko 2015? You must be drunk or your account is hacked!
 
Binafsi sioni tija yoyote katika kuzuia mikutano ya kisiasa kwa sababu uchaguzi mkuu wa 2020 ulikuwa mgumu zaidi kwa CCM kuliko ule wa 2015.

Kuzuia mikutano ni mbinu za kikoloni ambazo hazikuwasaidia lolote wakoloni wa enzi hizo.

Natamani awamu ya 6 ije kisasa zaidi, Wapinzani wanakabilika tusiwaogope.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sawa chukua tu mfano, Samia angesema tunajiandaa kurejea mchakato wa katiba tayari wapinzani wangepoteza agenda muhimu sana. Hii ilimsaidia sana Kikwete kipindi chake cha mwisho.
 
Samia badala ya kujenga CCM ya kujibu hoja kwa hoja, yeye anataka awafunge midomo wapinzani!
Kila mtu ana stahili yake ya kukubalika, wengine ubabe unawasaidia wengine huruma tu. Sasa ukidanganyika kuiga mtindo wa mwingine utaumbuka. Kuna watu wandhani Samia akiwa kama Magu atafanikiwa, si kweli! Aende tu alivyo asitake kuiga au kufuata miluzi ya watu.
 
Watanzania bado illiteracy ni kubwa, zuia mikutano ya upinzani inayocapitalize kwenye selfcitizen illiteracy, Ili kuzuia adui wasipitie huko ku subotage nchi,

Nb; adui wa nchi ni rahisi ku sabotage nchi kupitia upinzani kuliko Chama tawala.
 
Acha kujiongeresha kama umekatwa kichwa. Kwa nini MaCCM akili zenu azina akili..?!
CCM ilishajifiaga uo ndio ukweli, na sikweli kuwa wanatawala comfortably, wasingeteka, kutsesa, kupiga risasi na kuua watu. Wasingeiba kura na kuvuruga chaguzi. Ni Majeshi yetu yameachagua upanande na yanafanya siasa. ndio unaita Comfortably hii.. jinga sana wewe!
Huwezi kujenga hoja bila kutumia foul mouth?!...
 
wafanye kazi wanatuletea makelele mtaani huku....huu ni muda wa kufanya kazi, waache watu wafanye kazi, 2025 watafanya hayo mambo yao...wakianza hizi siasa zao za mikutano nguvu kazi nyingi inapotelea huko na kuleta usumbufu kwa jamii mtaani..

Yule jamaa amewalaza njaa 6yrs sasa wanataka kutafuta namna ya kutumia ruzuku na fedha za wafadhili...
Nguvu kazi nyingi? Inamaana wapinzani wana watu kumbe?
 
Huruma ya Mungu haipimiki maana ni kubwa sana LAKINI hasira ya Mungu haizuiwi na mwanadamu awaye yeyote.

Mungu huwapa wanadamu nafasi ya kujirudi, na kurudia utu wao. Viongozi wa CCM walipewa nafasi hiyo, lakini hawakubadilika kwa lolote. Wakatenda kwa ukaidi, dhuluma, uonevu na upendeleo.

Mungu ameendelea kutoa nafasi kwa hawa walevi wa madaraka. Lakini kiburi kikiendelea, Tanzania inaweza kuendelea kuongozwa na Makamu wa Rais kila baada ya uchaguzi.

Enendeni katika haki. Msipendelee wala kuonea hata mkamfanya Mungu wa haki akwa kinyume chenu.

Watu walimwomba sana Mungu wakati wa awamu ya 5. Maombi yalikuwa ya aina mbalimbali, lakini mengine ilikuwa ya kumwomba Mungu awaondolee mtawala mbaya. Kwa namna gani, hakuna aliyefikiria, maombi ilikuwa kuwaondolea mtawala mbaya. Maombi yao, kwa wakati ufaao, Mungu akatekeleza, tena kwa namna ambayo wengi hawakutarajia. Lakini ni nani mwenye kuhoji hekima ya Mungu?

Watu wa Mungu, wakati wakimshukuru Mungu kwakusikiliza sala zao, japo Mungu kawajibu maombi yao kwa mkono wenye nguvu, wa kuogofya, wasichoke kuendelea kumwomba awainulie kiongozi mwenye hekima, kiongozi mwenye upendo, kiongozi msikivu tena asiye na upendeleo, na pale kiongozi akikengeuka kwa kiburi na jeuri, awanusuru watu wake kwa kumwondoa kwa namna yoyote iwayo.
Huu mpango unahisi ulikuwa wa Mungu by 100%??? Pole sana mzee🤣🤣🤣
 
Watanzania bado illiteracy ni kubwa, zuia mikutano ya upinzani inayocapitalize kwenye selfcitizen illiteracy, Ili kuzuia adui wasipitie huko ku subotage nchi,

Nb; adui wa nchi ni rahisi ku sabotage nchi kupitia upinzani kuliko Chama tawala.
Dunia ni kijiji bwashee!
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa mrahisi sana, ushindi ulikuwa kama kumsukuma mlevi...hamuoni bunge la kijani?🤣🤸🐒
 
Back
Top Bottom