Kuzuiliwa kwa maandamano ya CHADEMA yaleta taswira tofauti kwa Rais Samia kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Huo ujinga wa kuwahofu na kuwaabudia wazungu nyie watu weusi utawaisha lini?
 
Hakuna cha vyombo vya nje wala nini huyo ni muhuni mmoja na kagenge kake na anaishi hapa hapa bongo
 
True huwez kuna na rais unatisha watu afu kwenye mkutano mkubwa and everbody is watching wakatibwa mama toka aondoke zuhura yunus naona gepu kubwa mnoo kwenye speech zake speech zinaandikwa kichawa chawa tuna mlima mrefu sana
 
True huwez kuna na rais unatisha watu afu kwenye mkutano mkubwa and everbody is watching wakatibwa mama toka aondoke zuhura yunus naona gepu kubwa mnoo kwenye speech zake speech zinaandikwa kichawa chawa tuna mlima mrefu sana
Zuhura Yunis yuko wapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…