Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwani lini mlikubali kuwa Ronaldo ni GOAT?Hapana wala sio haters. Kinachosumbua kwenu bado hamkubali kwamba Messi ndio G.O.A.T ingawa takwimu zote zinaonesha hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lini mlikubali kuwa Ronaldo ni GOAT?Hapana wala sio haters. Kinachosumbua kwenu bado hamkubali kwamba Messi ndio G.O.A.T ingawa takwimu zote zinaonesha hivyo.
sawa mwalim kashaha.kwahio unataka acheze hadi umri gani? miaka 40au? hebujibu wewe mchambuzi maandazi.Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.
Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Katika rekodi za WC Messi anaongozaAnayeongoza kupewa penati ni Christiano.
Unaangalia popote, ila kuyachukulia serious maneno ya mtangazaji ukayatumia kama fact ndio hapo tunapoona tatizo la kuangalia kupitia TBCKombe la dunia nalo ulitaka tukaangalie kibanda umiza boss!
Tatizo upo kinazi sana.Ronaldo tumeshasema afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup kama lewandowski na Ibrahimovic.
Ronaldo afananishwe na wenzie wasiokuwa na world cup kina lewandowski na IbrahimovicYani kwa kifupi hili kombe tangu mwanzo ilikua ikiwa ni la argentina basi Litatumika kumu offend Ronaldo
hili kila shabiki wa ronaldo alikua analijua litatokea, kwanzia jana na milele itakua ni kashfa tu
Ronaldo ana kundi kubwa sana la watu wanaomchukia kuliko tunavyodhaniYani kwa kifupi hili kombe tangu mwanzo ilikua ikiwa ni la argentina basi Litatumika kumu offend Ronaldo
hili kila shabiki wa ronaldo alikua analijua litatokea, kwanzia jana na milele itakua ni kashfa tu
Kila nikimuangalia huyu mchezaji ninaona anatumia mbio nyingi na ndio mafanikio yake yapo hapo.
Akishavuka miaka 30 hataweza kukimbia kwa kasi ya sasa hivi na hapo atapotea kama alivyopotea Christiano.
Messi akiwa chini ya miaka 20 alikuwa na WC?Kamzidi Ronaldo na itamchukua miaka mingi kufikia rekodi za Messi.
uchambuzi wampila umejifunzia wapi?Mbona makasiriko mkuu?